Latra yaita wadau wanaotaka saa 24

MAMLAKA ya Udhibiti Usafi ri Ardhini (LATRA), imewaita wadau wenye nia ya kutoa huduma za usafi ri wa abiria kwa saa 24 kupeleka maombi ili yachakatwe na kuona ukubwa wa uhitaji kisha kushirikisha mamlaka nyingine na kutoa uamuzi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Usafiri wa Ardhini wa Latra, Johanes Kahatano alisema wametoa fursa hiyo ili kuona kiwango cha uhitaji na kufanya mchakato wa huduma hiyo.
“Tunaomba wananchi na wadau watupe nafasi tufanye maandalizi ya safari za usiku za saa 24, kwa sasa ratiba zetu za safari zinaanza saa tisa usiku kwa mabasi yanayokwenda safari ndefu za zaidi ya saa 14, wale wanaotaka kutoa huduma kwa saa 24 watuletee maombi tufanye uchambuzi,” alisema Kahatano.
Alisema hivi sasa ratiba zao za safari za mabasi ya abiria zinaanza saa tisa usiku kwa mabasi yanayokwenda safari ndefu, na kwa yale yanayokwenda safari za saa nane hadi 12 hawana vibali vya kusafiri usiku na kuwa sasa wanafanya maandalizi ili wenye nia waweze kusafiri muda wa saa 24.
Aliwaonya wadau wa usafirishaji ambao wanasafirisha abiria usiku bila kuwa na kibali, kuacha mara moja huduma hiyo kwa sababu ni hatari kwa maisha ya abiria na mali zao lakini pia kwa vyombo hivyo vya moto.
“Kuna baadhi ya mabasi, zikiwemo Coaster zinafanya safari za usiku bila kuwa na vibali, hii ni hatari, acheni mara moja tunachukua hatua na tutaendelea kuchukua lakini ni vyema kama unataka kutoa huduma hiyo kwa saa 24, leta maombi tuyafanyie kazi,” alisema Kahatano.
Mapema Mei mwaka huu Katibu Mkuu wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa), Priscus Joseph akiwa na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Latra, Salum Pazzy alisema hakuna mvutano wa muda wa kuanza safari za mabasi kwenda mikoani.
“Tunafanya kazi kwa kushirikiana, suala la kubadilisha ratiba za mabasi awali muda ulikuwa ni mabasi yote lazima yaanze safari saa 12 asubuhi si zaidi ya hapo, lakini baadaye tuliruhusu ratiba zianze saa 11 asubuhi,” alisema Pazzy.
Pazzy alisema utaratibu huo wa majaribio wa kuanza safari saa 11 alfajiri ulianza Novemba mwaka jana na hadi sasa mabasi 180 yamepewa leseni kuanza safari muda huo na kuwa hivi karibuni wamepokea ushauri kutoka bungeni wa kutaka mabasi hayo yafanye safari saa 24.
Alisema walitangazia wadau wanaotaka kutoa huduma hiyo muda huo kwenda Latra na masharti ni lazima madereva wa mabasi hayo wasajiliwe na mamlaka hiyo ili kufahamu dereva nani yuko na gari gani muda huo.
Google pay 390$ reliably my last paycheck was $55000 working 10 hours out of consistently on the web. b12 My increasingly youthful kinfolk mate has been averaging 20k all through continuous months and he works around 24 hours reliably. I can’t trust how direct it was once I attempted it out. This is my essential concern…:)
For more info visit…………..>> http://www.SmartCash1.com
Ratiba ya Ziara ya Mary Pius Chatanda KIONGOZI wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) KWENYE SEKTA YA MADINI ATATEMBELEA:-
· Mgodi wa Dhahabu
· Mgodi wa Almas(Kampuni ya Petra Diamond Ltd)
· Mgodi wa Gas
· Mgodi wa Uranium
· Mgodi wa Mafuta
· Mgodi wa Makaa ya mawe
· Mgodi wa Tanzanite
· Mgodi wa Uchimbaji Madini na Mawe
· Ujenzi wa vituo vitatu vya umahiri
· Masoko ya madini
· Kampuni ya Mahenge Resources Limited (Black Rock Mining Ltd)
Kuanzia tarehe 23/8/2023 hadi tarehe 2/8/2023
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://webonline76.blogspot.com/
Work At Home For USA My buddy’s makes $164/hr on the computer. She has been unemployed for eight months but last month her but pay check was $26,000 just working on the computer for a few hours.
.
.
Detail Here——————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Orodha ya mademu wanaotakiwa kuingia kwenye ka Game ka zali la Mtaliii
• Wabunge wa viti Maalumu.
• Watumishi wa umma wanawake na viongozi wa Serikali.
• Watumishi wanawake wa Banki za CRDB,NMB, AZANIA, DCB.
Tupo huku tunaaminishwa kuwa kuna kazi mbaya duniani ipo siku tutawapata kirahisi kabisa.- KUWA MKARI SANA
Ratiba ya Ziara ya Mary Pius Chatanda KIONGOZI wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) KWENYE SEKTA YA MADINI ATATEMBELEA:-
· Mgodi wa Dhahabu
· Mgodi wa Almas
· Mgodi wa Gas
· Mgodi wa Uranium
· Mgodi wa Mafuta
· Mgodi wa Makaa ya mawe
· Mgodi wa Tanzanite
Kuanzia tarehe 23/8/2023 hadi tarehe 2/8/2023
REJECTION CITY (KUJENGWA KIMAZICHANA)
“JENGA INDIRECT KUPITIA VAT”
NUNUA BIDHAA (BAR, SIGARA, NAULI ZA DARADARA, MAANDAZI, MKATE, NYOA NYWELE, PAKA KUCHA, NUNUA MIWANI, NUNUA NGUO) TUJENGE.. TUTAPATA FAIDA NA KUJENGA JIJI LETU LA (REJECTION CITY VS MAGUFULI CITY); “
MADARAKA CITY VS NGUVU CITY)