Ligi pendwa EPL imerejea

ENGLAND: Baada ya mapumziko ya wiki moja kupisha michezo ya kimataifa, Ligi Kuu nchini England inarejea leo kwa michezo kadhaa.

Mchezo wa mapema utakuwa kati ya Liverpool dhidi ya Wolves, utapigwa saa 8:45 mchana.

Fulham dhidi ya Luton, Spurs watakuwa nyumbani kuwakaribisha Sheffield United, West Ham watakuwa London Stadium kuwakaribisha vijana wa Pep Guardiola, Man City, Man United dhidi ya Brighton, Aston Villa dhidi ya Crystal Palace, michezo yote itapigwa saa 11:00 jioni.

Newcastle United watakuwa St James Park kuwakaribisha ‘The Bees’ Brentford, mchezo huo utapigwa saa 1:30 usiku.


Imeandaliwa na Rahimu Fadhili

Tembelea //epaper.tsn.go.tz kusoma zaidi

Una maoni usisite kutuandikia

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
HelgaFrye
HelgaFrye
12 days ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://smartcareer12.blogspot.com/

Last edited 12 days ago by HelgaFrye
Julia
Julia
11 days ago

I’ve got my first check for a total of 23,000 dollars. I am so energized, this is whenever I first really acquired something. I will work much harder now and I can hardly hang tight for the following week installment.
.
.
Detail Here………………………………………………………………… http://Www.BizWork1.Com

MONEY@
MONEY@
10 days ago

PATA DOLLA $45,000,000 SASA FANYA KAZI NYUMBANI NA HUTAKIWI KUTOKA HATA KIDOGO KABISA

TANGAzo

Chama cha MAPINDUZI kinawatangazia VIJANA WA KITANZANIA 500,000 kuandaa kijiji cha ujamaa eneo la UVUMI DODOMA…

WAHI FURSA HII ADIMU KWA MAENDELEO YA KARNE YA 23

Capture.JPG
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x