Majaliwa: Watumishi Halmashauri wakae vijijini

KIGOMA, Uvinza: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kama Rais Samia Suluhu Hassan anafanya ziara na kusikiliza kero za wananchi, haoni ni kwa nini watumishi wengine wa umma wanashindwa kufanya hivyo.
“Iwapo Mkuu wa nchi, Rais wetu Dk. Samia Suluhu Hassan anaenda kote nchini na kusikiliza wananchi, je ninyi ni akina nani? Nilishasema mtenge siku tatu katika wiki mwende vijijini na kuwasikiliza wananchi,” alisema.
Ameyasema hayo jana jioni (Alhamisi, Septemba 21, 2023) wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza na mamia ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Nguruka, wilayani humo.
MPANGO KATEMA CHECHE
Let’s heed the old wisdom that says: “an eye for an eye, leaves everybody blind”.
I just got paid $7268 to work on my laptop this month. And if you think that’s cool, my divorced friend has toddler twins and made over $13,892 in the first month. It’s great to earn a lot of money while others have to work for much lower wages.
That’s what I do…….. http://www.Smartwork1.com
I am now making more than 350https://s.w.org/images/core/emoji/14.0.0/svg/1f4b0.svg dollars per day by working online from home without investing any money.Join this link posting job now and start earning without investing or selling anything…….
🙂 AND GOOD LUCK.:)..____ http://Www.Careers12.com
MPANGO KATEMA CHECHE…
Let’s heed the old wisdom that says: “an eye for an eye, leaves everybody blind”.