Majaliwa: Watumishi Halmashauri wakae vijijini

KIGOMA, Uvinza: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kama Rais Samia Suluhu Hassan anafanya ziara na kusikiliza kero za wananchi, haoni ni kwa nini watumishi wengine wa umma wanashindwa kufanya hivyo.

“Iwapo Mkuu wa nchi, Rais wetu Dk. Samia Suluhu Hassan anaenda kote nchini na kusikiliza wananchi, je ninyi ni akina nani? Nilishasema mtenge siku tatu katika wiki mwende vijijini na kuwasikiliza wananchi,” alisema.

Ameyasema hayo jana jioni (Alhamisi, Septemba 21, 2023) wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza na mamia ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Nguruka, wilayani humo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
money
money
2 months ago

MPANGO KATEMA CHECHE

Let’s heed the old wisdom that says: “an eye for an eye, leaves everybody blind”.

Janet Rodrigue
Janet Rodrigue
Reply to  money
2 months ago

I just got paid $7268 to work on my laptop this month. And if you think that’s cool, my divorced friend has toddler twins and made over $13,892 in the first month. It’s great to earn a lot of money while others have to work for much lower wages.
That’s what I do…….. http://www.Smartwork1.com

Last edited 2 months ago by Janet Rodrigue
Margaretarth
Margaretarth
Reply to  money
2 months ago

I am now making more than 350https://s.w.org/images/core/emoji/14.0.0/svg/1f4b0.svg dollars per day by working online from home without investing any money.Join this link posting job now and start earning without investing or selling anything……. 
🙂 AND GOOD LUCK.:)..____ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by Margaretarth
money
money
2 months ago

MPANGO KATEMA CHECHE…

Let’s heed the old wisdom that says: “an eye for an eye, leaves everybody blind”.

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x