Malezi bora tiba ukatili kwa watoto

WAZAZI wametakiwa kuhakikisha wanasimamia vyema malezi ya watoto ili kuwanusuru na masuala mazima ya vitendo vya ukatili ambayo vimekuwa vikitokea maeneo mbalimbali.
Hayo yameelezwa na Ofisa Ustawi wa Jamii wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Tomic Simbeye katika mkutano maalumu na wanafunzi na wazazi uliofanyika shule ya msingi Jaranja iliyopo kata ya Tlawi wilayani Mbulu Mkoa wa Manyara.
Simbeye amesema katika kupambana na ukatili dhidi ya watoto ofisi yake imeendesha zoezi la kutembela kata zote na kukutana na wanafunzi na wazazi kuzungumza na kutoa elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia.
Katika mkutano huo, alisema wazazi wanatakiwa watoe malezi kwa watoto katika mazingira ambayo yana ukaribu ili kuweza kutoa nafasi kwa mtoto kueleza changamoto anazozipitia jambo ambalo litasaidia kufichua endapo kuna masuala ya ukatili ambayo yamemkumba.
“Tumezungumza na wazazi na kutoa elimu juu ya masuala mbalimbali ambapo tumewaelimisha kwa kina juu ya malezi sahihi kwa watoto na wanafunzi na itawawezesha kusaidia kwa kiasi fulani kujua masuala ambayo yanamkumba mtoto.” amesema Simbeye.
I get paid more than $140 to $170 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this (Qg)I have earned easily $25k from this without having online working skills . Simply give it a shot on the accompanying site…
.
.
.
Here is I started.…………>> http://Www.Smartcareer1.com
Everybody can earn 500 dollars daily. Yes! you can earn more than you think by working online from home. I have been doing this job for like a few weeks and my last week payment was exactly 30,000 dollars.
.
.
Detail Here—————————————————————>>> http://Www.BizWork1.Com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com