Marufiko yauwa 15 Kenya

WATU 15 wamekufa baada ya kutokea mafuriko nchini Kenya, baadhi ya nyumba, mifugo imesombwa kutokana na kadhia hiyo, Shirika la Msalaba Mwekundu Kenya limeeleza.
“Mpaka kufikia Jumapili nyumba 15,264 zilikuwa zimeharibiwa, na vifo vya watu 15, mifugo 1,067 imekufa”, shirika hilo limesema.
Msimu wa mvua kuanzia Oktoba hadi Disemba unaendelea kuleta changamoto kwa baadhi ya nchi Afrika.
Mafuriko yamesababisha takriban watu ishirini kupoteza maisha na wengine 12,000 kuyahama makazi yao katika eneo la Somali Mashariki mwa Ethiopia, serikali ya mtaa ilitangaza Jumamosi.
Somalia watu 14 wamekufa na 114,000 wamekimbia makazi yao tangu kuanza kwa msimu wa mvua, kulingana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kibinadamu (Ocha)
HONGERA TBC, TBA, TBS, TIB BANK, DTB, TBL, MTB MNAFANYA NCHI INANYOOKA VYEMA..
HONGERA TBC, TBA, TBS, TTB, TIB BANK, DTB, TBL, MTB MNAFANYA NCHI INANYOOKA VYEMA..
I have just received my 3rd paycheck which said that $16285 that i have made just in one month by working online over my laptop. This job is amazing and its regular earnings are much better than my regular office job. Join this job now and start making money online easily by
.
.
.
.
Just Use This Link……..> > > http://Www.Smartcareer1.com