Mazungumzo yafanyika kusaidia gharama taulo za kike

DAR ES SALAAM; NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi Maalum, Mwanaidi Ali Khamis amesema mazungumzo baina ya wizara hiyo na Wizara ya Fedha yanaendelea katika kuhakikisha taulo za kike zinapatikana kwa gharama nafuu bila kodi, ili kuwezesha wanawake na wasichana wa kaya masikini kupata afua hiyo.
Pia amesema wataendelea kushughulikia changamoto za mila na desturi kandamizi zinazokwamisha jitihada za kumuinua msichana ikiwemo mimba za utotoni, ndoa na ukeketaji.
Akzungumza leo Dar es Salaam, Naibu Waziri huyo amesema “Mila, desturi na utamaduni kandamizi hufanya wasichana wakose kujiamini, kujitambua na kutotimiza ndoto zao hivyo, serikali itapendelea mzidi kutoa elimu kwa umma kuhusu athari za mila na desturi zenye madhara.”
Amesema kuwa suala la kuondolewa kwa kodi taulo za kike, mazungumzo yanaendelea na kwamba watahakikisha zinapatikana kwa gharama nafuu na zenye ubora unaotakiwa.
Khamis amesema utafiti uliofanywa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kushughulikia Watoto wa mwaka 2021, kuhusu ukatili dhidi ya watoto unaonesha kuwa mvulana mmoja kati ya saba anakutana na ukatili wa kingono kabla ya miaka 18.
Kati ya watoto hao asilimia 71 wamefanyiwa ukatili wa kimwili. Hata hivyo, utafiti huo unaonesha kuwa watoto wa kike idadi ipo juu kwani msichana mmoja kati ya wasichana watatu amekutana na ukatili wa kingono kabla kutimiza miaka 18 na ni sawa na asilimia 72 wamekutana na ukatili wa kimwili.
Pia amesema takwimu za utafiti wa kidemografia wa Afya (TDHS) mwaka 2016 umeonesha kuwa asilimia 36 ya wasichana wenye umri kati ya miaka 20 hadi 24, waliolewa kabla ya kutimiza miaka 18 tatizo hilo kubwa zaidi vijijini huku mijini ikiwa na idadi ndogo.
Kuhusu hatua zinazochukuliwa na serikali, ameeleza kuwa wanasubiri marekebisho ya sheria ya ndoa 1971 ambayo inaruhusu mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 14 kuolewa kwa idhini ya wazazi au walezi, yataondosha mazingira ya kuwepo kwa mila wezeshi zinazochochea vitendo hivyo
“Hatua za kimaendeleo kuwezesha elimu kwa mtoto wa kike zinaendelea kwani Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia watoto wa kike waliokatishwa masomo kuendelea na masomo hivyo, niwatake msifanye mchezo kwenye fursa hizo kwani tupo tutawalinda nanyi muendelee na masomo,” amesisisitiza.
Amesema takribani wasichana 28,000 wamerejea shule baada ya kuacha masomo kwa sababu mbalimbali kati ya 2022/23.
Katika mwaka wa masomo, 2022 wanafunzi waliorejea shule ya msingi ni 9,379 sawa na asilimia 13.92 na wanafunzi sekondari ni 8,153 sawa na asilimia 12.94 wakati kwa mwaka 2023, wanafunzi waliorudi shule ni 5,057 wa shule ya msingi na sekondari ni 6,191 sawa na asilimia 18.7.
“Serikali inaendelea kuimarisha ubora na miundombinu ya elimu nchini kwani hadi sasa
shule 10 kati ya 26 zimejengwa kwa ajili ya wasichana lengo kuongeza ushiriki kwenye masomo ya sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati,” amesema.
I’m making over $7k a month working component time. I saved hearing other people inform me how lots cash they could make online so I decided to look at it. Well, it turned into all proper and has definitely modified my life.
.
.
Detail Here————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
Surprising! I’ve been making 100 Dollars an hour since I started freelance on the Internet six months ago. I work long hours a day from home and do the basic work that I get from the business I met online. share this work for you opportunity This is definitely the best job I have ever done………
…
…
…Go To This Link…………… > > > > http://Www.Smartcareer1.com
Google pay 390$ reliably my last paycheck was $55000 working 10 hours out of consistently on the web. My increasingly youthful kinfolk mate has been averaging 20k all through continuous months and he works around 24 hours reliably. I can’t trust how direct it was once I attempted it out. This is my essential concern…:) GOOD LUCK
For more info visit……… http://Www.CareersHome.online
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Familia ya bwana MAPIGANO/KUTOKUZIKWA YATANGANZA VITA NA NCHI YA RWANDA YA KUBOMOA DARAJA LA MTO KAGERA PALE RUSUMO KWA KUTUMIA MABOMU YA KUTENGWA KWA MKONO KWA SIKU 5 LENGO NI KUUWA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA RWANDA