Active Mama: Mikutano kimataifa itumike kujitangaza

MKURUGENZI wa Taasisi ya Active Mama, Ernestina Mwenda amewataka watanzania kutumia mikutano ya kimataifa inayofanyika hapa nchini katika kujitangaza katika soko la kimataifa.

Akizungumza na mwandishi wa Habari Leo, alisema Tanzania imekuwa ikipokea mikutano mikubwa kama Mkutano wa kimataifa wa Chakula uliofanyika Dar es Salaam na kukutanisha viongozi wakubwa  kutoka nchi mbalimbali za Afrika.

Alisema kampuni yake ya Active Mama,  imejipanga kutumia fulsa hizo zinazotokana na mikutano hiyo katika kupeleka bidhaa zake katika soko la kimataifa hasa katika upande wa Afrika Mashariki na Kati.

“Soko ni la kulipambania hivyo zinapotokea fulsa kama hizi za mikutano mikubwa, ni muda sahihi wa kuhakikisha bidhaa za ndani na kuhakikisha  zinasambaa” alisema.

Ernestina alisema anaamini bidhaa zake na za Tanzania, zinanafasi kubwa katika soko la kimataifa kwakuwa za asili na zinapendwa kutokana na  hlkutokuwa na vimelea vya  sumu wala athari kwa Jamii.

Alimalizia kwa kutaka Watanzania kupenda bidhaa zinazotengenezwa  ndani ya nchi na kuwatia moyo wafanyabiashara ili kutengeneza ajira hapa nchini.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Jamesstrander
Jamesstrander
13 days ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://earncash82.blogspot.com/

Last edited 13 days ago by Jamesstrander
Next King of Tanzania
Next King of Tanzania
12 days ago

“JENGA UKIFA UTAZIACHA NA WATOTO WENU WATAUZIUZA” BY SAMIA SULUHU HASANI

 

HIVI MWANADAMU AKIFA HUWA AACHA NINI KULE BY TULIA AKSON

AKUTA NYOKA KWENYE VIATU VYAKE, AUMWA NA KUFA HAPO HAPO

HATA UTARATIBU TULIOUJENGA INABIDI TUFE TUUACHE WAKITAKA WAKUUZE ULAYA

Capture.JPG
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x