“Nimevutiwa sana na ramani ya Uwanja wa Mashujaa. Uwanja huu utakuwa na migahawa ya kimataifa, utakuwa na kumbi za mikutano, utakuwa na vivutio vingine vya watu kupumzika na kupata burudani kama michoro ilivyoonesha. Kubwa zaidi kutakuwa na mnara mrefu kabisa ndani ya Afrika yetu.” Rais Samia Suluhu.
Comments are closed.