Moto waua watu 100 harusini

ZAIDI ya watu 100 wamekufa na wengine 150 kujeruhiwa baada ya moto kuzuka kwenye sherehe ya harusi Mkoa wa Nineveh kaskazini mwa Iraq.

Wizara ya Afya inasema waliojeruhiwa vibaya wamepelekwa katika hospitali zinazohusika na majeraha ya moto; wengi wako katika “hali isiyo nzuri”.

Mamlaka zinasema fataki zilizotumika wakati wa sherehe huenda ndizo zilisababisha moto huo watu kadhaa wamekamatwa.

Taarifa zinaeleza kuwa maharusi hao wamenusurika ingawa wameungua.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
NieveHill
NieveHill
2 months ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by NieveHill
money
money
2 months ago

Mashindano ya nani kuhinda kwenye neno “ABROAD“ NCHINI TANZANIA!?

MJERUMANI

MHINDI

MTANZANIA

MKENYA

MNIGERIA

MHISPANIA

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

NANI AINGIZE NDEGE ZA KWENDA KUMSALIMIA BABU NA BIBI, KWA ALIYESHINDA KULELEWA NA BIBI TU!?

Capture.JPG
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x