Moto waua watu 100 harusini

ZAIDI ya watu 100 wamekufa na wengine 150 kujeruhiwa baada ya moto kuzuka kwenye sherehe ya harusi Mkoa wa Nineveh kaskazini mwa Iraq.
–
Wizara ya Afya inasema waliojeruhiwa vibaya wamepelekwa katika hospitali zinazohusika na majeraha ya moto; wengi wako katika “hali isiyo nzuri”.
–
Mamlaka zinasema fataki zilizotumika wakati wa sherehe huenda ndizo zilisababisha moto huo watu kadhaa wamekamatwa.
–
Taarifa zinaeleza kuwa maharusi hao wamenusurika ingawa wameungua.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Mashindano ya nani kuhinda kwenye neno “ABROAD“ NCHINI TANZANIA!?
MJERUMANI
MHINDI
MTANZANIA
MKENYA
MNIGERIA
MHISPANIA
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
NANI AINGIZE NDEGE ZA KWENDA KUMSALIMIA BABU NA BIBI, KWA ALIYESHINDA KULELEWA NA BIBI TU!?