Mshikemshike kufuzu AFCON viwanja tofauti leo

Sehemu ya wachezaji wa kikosi cha timu ya taifa ya Misri.

MECHI za kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika(AFCON) 2025 Morocco zinaendelea leo kwenye viwanja kadhaa.

Baada ya Tanzania kupoteza mchezo wake dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa bao 1-0 Oktoba 10, timu ya taifa ‘Taifa Stars’ itarudiana na nchi hiyo Oktoba 15 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

SOMA: Taifa Stars katika mtihani kufuzu AFCON leo

Advertisement

Michezo 16 ya makundi mbalimbali itafanyika kama ifuatavyo:

KUNDI A
Madagascar vs Gambia
Tunisia vs Comoros

KUNDI B
Gabon vs Lesotho

KUNDI C
Misri vs Mauritania

KUNDI D
Benin vs Rwanda
Nigeria vs Libya

KUNDI E
Equatorial Guinea vs Liberia

KUNDI F
Angola vs Niger

KUNDI G
Zambia vs Chad
Ivory Coast vs Sierra Leone

KUNDI I
Msumbiji vs Eswatini
Mali vs Guinea-Bissau

KUNDI J
Cameroon vs Kenya

KUNDI K
Uganda vs Sudan Kusini
Afrika Kusini vs Congo

KUNDI L
Senegal vs Malawi