Tuache chokochoko tudumishe amani

MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha uzalendo na kuitunza tunu ya amani iliyopo nchini, akisisitiza kwamba choko choko za kisiasa na mitazamo yenye kugawa jamii zinaweza kuhatarisha umoja wa kitaifa.
Akizungumza na viongozi wa Mkoa wa Njombe, Sheikh Zubeir alisema kuhubiri amani ni msingi wa mafundisho ya Uislamu na ni msimamo wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), ambalo limekuwa mstari wa mbele katika kuhimiza uadilifu, upendo na heshima miongoni mwa watu wote bila kujali dini au itikadi za kisiasa.
“Amani ndiyo nguzo ya maendeleo. Kila Mtanzania ana wajibu wa kuilinda ili ibaki kuwa urithi wa vizazi vijavyo,” alisema Mufti Zubeir. Alisisitiza kuwa BAKWATA si taasisi ya kisiasa wala kibaraka wa serikali, bali ni chombo cha kidini kinachojitegemea, kinachoendesha shughuli zake kwa misingi ya maadili mema na ustawi wa kijamii.
Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, aliliomba baraza hilo kuanzisha vitega uchumi vitakavyokiwezesha kujitegemea kiuchumi, ikiwemo kumiliki ardhi na miradi ya uzalishaji mali. “Ni wakati sasa taasisi za dini ziwekeze kwenye miradi yenye tija kama elimu, afya na huduma za kijamii, ili kusaidia kupunguza utegemezi na kuboresha maisha ya waumini,” alisema Mtaka.
Mtaka aliongeza kuwa taasisi za dini ni wadau muhimu wa maendeleo na zinapaswa kutumia nafasi hiyo kushirikiana na serikali katika kujenga jamii yenye amani, umoja na maendeleo endelevu. SOMA: Nchimbi asema Bandari Kwala ni mageuzi kiuchumi




Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com
Start now making every month extra $19k or more by just doing an easy online job from home. Last month I earned and received $16650 from this job by giving only 3 hrs. a day. Every person can now get this job and start earning online by:-
Open This…. http://Www.Work99.Site
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com