Mwenyekiti Chadema ajiunga CCM

GEITA. Bukombe. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kata ya Bulega wilayani Bukombe mkoani Geita, Dotto Ngaga ametangaza kuachana na chama hicho kwa madai amekosa wanachama.

Ngaga ametangaza uamuzi wake mbele ya Naibu Waziri Mkuu, ambaye pia ni Waziri wa Nishati na Mbunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk Dotto Biteko katika mkutano wa hadhara Kata ya Bulega, ambao oia ulihudhuriwa na Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mary Chatanda.

Akizungumuza na HabariLEO, baada ya uamuzi huo, Nguga amesema tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani, wanachama wengi wa Chadema ndani ya Kata ya Bulega wamehamia CCM, hivyo Chadema kukosa nguvu.

“Chama (cha Chadema) katika Kata ya Bulega kimekufa, kwa sababu hata mimi hapa nilipo nilikuwa nimebakia mimi na Katibu, sasa hivi utendaji wa Chama Cha Mapinduzi utendaji ni mzuri, yaani watu wanawajali sana,” amesema na kuongeza kuwa ndiyo sababu yay eye kujitoa Chadema na kuhamia CCM.

Amesema utendaji mzuri wa serikali ya CCM ikiongozwa na Rais Samia umefanya kero nyingi za Kata ya Bulega kutatuliwa na kufanya wao kama viongozi wa upindani ndani na nje ya Bukombe kukosa hoja za kisiasa.

“Kazi ya mama (Rais Samia) ni nzuri mno, hapo zamani kulikuwa na usumbufu kwenye utendaji maeneo ya vijijini, vitu vingi vilikuwa haviwekwi vizuri, lakini sasa hivi hata unapowasomea watu na wao wanaona.

“Huu ni utendaji mzuri sana unaonekana kwa macho, kuna majibu ya kuona wala siyo kuambiwa. Kumbe utendaji mzuri huwa inafikia sehemu hata familia ya mtu inaguswa, na wala hakuna sababu nyingine kabisa,” amesema.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Catherinenglish
Catherinenglish
2 months ago

I am now making more than 350https://s.w.org/images/core/emoji/14.0.0/svg/1f4b0.svg dollars per day by working online from home without investing any money.Join this link posting job now and start earning without investing or selling anything……. 
🙂 AND GOOD LUCK.:)..____ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by Catherinenglish
juliya
juliya
2 months ago

I basically make about $14,000 to $18,000 a month online. It’s enough to comfortably replace my old jobs income, especially considering I only work about 10-13 hours a week from home. I was amazed how easy it was after I tried it copy below web…
HERE ——–> http://Www.Smartwork1.com

Last edited 2 months ago by juliya
CharleeJewell
CharleeJewell
2 months ago

[ JOIN US ] I am making a good salary from home $16580-$47065/ Dollors week , which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. ( s72q) I thank God every day I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with Everyone,
Here is I started.…………> http://Www.SmartCareer1.com

JenniferGale
JenniferGale
2 months ago

I’ve got my first check for a total of 13,000 dollars. I am so energized, this is whenever I first really acquired something. I will work much harder now and I can hardly hang tight for the following week installment.
.
.
Detail Here…………………………………………………………….. http://Www.BizWork1.Com

money
money
2 months ago

Mashindano ya nani kuhinda kwenye neno “ABROAD“ NCHINI TANZANIA!?

MJERUMANI

MHINDI

MTANZANIA

MKENYA

MNIGERIA

MHISPANIA

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

NANI AINGIZE NDEGE ZA KWENDA KUMSALIMIA BABU NA BIBI, KWA ALIYESHINDA KULELEWA NA BIBI TU!?

Capture.JPG
Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x