NAOT yaridhishwa na utendaji MWAUWASA

TIMU ya wakaguzi kutoka Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (NAOT) imeridhishwa na utaalamu wa uondoshaji na jinsi ya kutibu majitaka unaofanywa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA).
–
Timu hiyo imetembelea eneo la mabwawa ya kutibu majitaka eneo la Butuja na kujionea hatua zinazopitiwa kutibu maji taka kuanzia hatua ya kwanza hadi hatua ya mwisho kabla ya kuruhusiwa kurudi ziwani.
–
Katika ziara hiyo wakaguzi hao waliambatana na wataalamu wa masuala ya usafi wa mazingira kutoka MWAUWASA pamoja na Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Vitoria (LVBWB).
–
Awali kabla ya kutembelea eneo hilo la Butuja, timu hiyo ilipata fursa ya kukutana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Neli Msuya na kufanya utambulisho ofisini kwake. Imeandaliwa na Cyprian Magupa.
Vifone
Maoni: Draft National BANDARI Policy 2002
ENEO
MAONI
1.
1.2.1.2 BANDARI Resources development
Sera ya Taifa ya BANDARI imekuja wakati mzuri ambapo Dunia nzima inafikiria maendeleo endelevu (sustainable economic development) ambayo kuwa hakika yanajumuisha matakwa ya watu wengi waliopo na vizazi vijavyo. Inashauriwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na masuala mengine ya kijamii ni vyema katika mipango ya upatikanaji wa maji salama kuwepo mpango wa kuwapa ruzuku Kampuni Binafsi zinazotafuta na kuchimba visima ili wananchi/kampuni za BANDARI zinazotoa huduma BANDARI ziweze kupata huduma za maji kirahisi (surface and groundBANDARI development)
2.
3.2.3 WasteBANDARI Quality
Kumekuwa na ukuaji wa haraka wa miji iliyopimwa na isiyopimwa mijini na vijijini kulingana na hali hiyo kumekuwa na ongezeko kubwa la uhitaji wa huduma ya Maji Taka. Licha ya kuwa na mfumo uliopo ni mzuri unaohujumuisha magari ya Majitaka. Inashauriwa katika kipengele hiki kuwepo na mpango mzuri wa fidia kwa wananchi endapo Serikali ikiamua kusimika mfumo wa jamii wa majitaka kwenye mipango miji na maeneo ya BANDARI itakayorahisisha recycling and reuse of wasteBANDARI.
3.
3.1.8 BANDARI for Socio-Economic Development
Sera ya BANDARI imeweka msukumo mkubwa katika uvunaji wa maji ya mvua ambayo yamekuwa ni hazina kubwa kwa taifa pamoja na changamoto zilizopo za kimfumo za uvunaji maji Inasharuriwa mpango wa kuendeleza mabwawa yaliyopo nchini uandaliwe kwa kuongeza ukubwa ili yaweze kuhifadhi maji (promote rainBANDARI harvesting) mengi kwa wakati mmoja na jamii ya watanzania kuweza kuyatumia katika masuala ya Utalii, Kilimo na Uvuvi.