Obby Alpha: “Dunia Bila Watu Haina Ladha”

MWIMBAJI wa nyimbo za Injili nchini, Obby Alpha, amesema kuwa hata mtu akiwa na utajiri au mali nyingi, dunia inaweza kuonekana chungu endapo ataishi peke yake bila kuwa na watu wengine.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Obby Alpha aliandika ujumbe unaosisitiza umuhimu wa watu katika maisha ya kila siku, akieleza kuwa thamani ya vitu tulivyonavyo hutegemea uwepo wa wengine. “Mfano, sisi sote tuondoke duniani tukaacha kila kitu kilichopo leo sidhani kama utaona umuhimu wa chochote pasipokuwa na jirani yako. Dunia haitakuwa na ladha yoyote kama jirani huyo hakuwepo,” alisema.
Mwimbaji huyo aliongeza kuwa baadhi ya watu wanaposhiba au kupata mafanikio, hukumbuka kidogo kuwa wote ni binadamu na wanapaswa kuheshimiana. “Pasipo watu, utu, upendo, amani na ushirikiano dunia si tamu. Watu ndio chumvi ya ulimwengu,” alisema. SOMA: Nyimbo za injili zihubiri maadili




JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com