Papa Benedict wa 16 afariki dunia

Papa Benedict wa 16 amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95.

Taarifa kutoka Vatican zinasema  kiongozi wa zamani wa Kanisa Katoliki duniani, amefariki dunia leo asubuhi mjini Vatican.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments
Back to top button
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x