Papa Benedict wa 16 afariki dunia

Papa Benedict wa 16 amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95.
Taarifa kutoka Vatican zinasema kiongozi wa zamani wa Kanisa Katoliki duniani, amefariki dunia leo asubuhi mjini Vatican.
Papa Benedict wa 16 amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95.
Taarifa kutoka Vatican zinasema kiongozi wa zamani wa Kanisa Katoliki duniani, amefariki dunia leo asubuhi mjini Vatican.