Rais Samia amfuta kazi Katibu Mkuu Wizara ya Maji

DODOMA: Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi  Nadhifa Kemikimba kuanzia leo Agosti 18, taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imesema.

Kemikimba aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu mwezi Februari 2023, awali alikuwa Naibu Katibu Mkuu. Pia ametumikia nafasi mbalimbali ikiwamo Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Ubora wa Maji. 

Pamoja na hilo, Mhandisi Kemikimba amefanya kazi katika Idara ya Huduma za Ubora wa Maji kuanzia ngazi za kiufundi mpaka uongozi wa idara inayosimamia masuala ya ubora wa maji Wizarani.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Julia
Julia
1 month ago

I earn more than $145-395 an hour from my online job. I heard about this job three months ago. Once he started working, he could easily make $23,000 without any online work skills. Please try it from the dedicated site.
.
.
Detail Here——————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Emma craft
Emma craft
Reply to  Julia
1 month ago

Scam scam every where but don’t worry , every one is not a cheater, very reliable and profitable site. Thousands peoples are making good earning from it. For further detail vs02 visit the link no instant money required free signup and
.
.
information______ https://Fastinccome.blogspot.Com/

CHUKUA KIFO HICHOO
CHUKUA KIFO HICHOO
1 month ago

Orodha ya mademu wanaotakiwa kuingia kwenye ka Game ka zali la Mtaliii
·     Wabunge wa viti Maalumu.
·     Watumishi wa umma wanawake na viongozi wa Serikali.
·     Watumishi wanawake wa Banki za CRDB,NMB, AZANIA, DCB.

Tupo huku tunaaminishwa kuwa kuna kazi mbaya duniani ipo siku tutawapata kirahisi kabisa.

Mapinduzi.JPG
CHUKUA KIFO HICHOO
CHUKUA KIFO HICHOO
1 month ago

Ratiba ya Ziara ya Mary Pius Chatanda KIONGOZI wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) KWENYE SEKTA YA MADINI ATATEMBELEA:-

·     Mgodi wa Dhahabu
·     Mgodi wa Almas
·     Mgodi wa Gas
·     Mgodi wa Uranium
·     Mgodi wa Mafuta
·     Mgodi wa Makaa ya mawe
·     Mgodi wa Tanzanite
Kuanzia tarehe 23/8/2023 hadi tarehe 2/8/2023

mapinduzii.JPG
CHUKUA KIFO HICHOO
CHUKUA KIFO HICHOO
1 month ago

REJECTION CITY (KUJENGWA KIMAZICHANA)
JENGA INDIRECT KUPITIA VAT”
NUNUA BIDHAA (BAR, SIGARA, NAULI ZA DARADARA, MAANDAZI, MKATE, NYOA NYWELE, PAKA KUCHA, NUNUA MIWANI, NUNUA NGUO) TUJENGE.. TUTAPATA FAIDA NA KUJENGA JIJI LETU LA (REJECTION CITY VS MAGUFULI CITY);

MADARAKA CITY VS NGUVU CITY)

MAPINDUZI.JPG
Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x