RC MALIMA: Uchumi Morogoro unategemea miundombinu bora

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amesema ili Mkoa huo uweze kukua kiuchumi katika sekta mbalimbali zikiwemo za ulishaji  vyakula  ni lazima kuwepo kwa miundombinu bora ya barabara ili kuvutia wawekezaji wengi.

Malima amesema hayo wakati wa kikao cha 40 cha bodi ya barabara cha Mkoa huo kilichofanyika Oktoba 5,2023 mjini Morogoro.

Amesema ili kukuza uchumi wa Morogoro na kuvutia wawekezaji, suala la uboreshaji wa miundombinu ya barabara haliepukiki.

Mkuu wa Mkoa amewataka viongozi wa Mkoa huo kushirikiana kwenye kusimamia miradi ya maendeleo ikiwemo ya barabara.

“Kwa sasa hali ya barabara katika Mkoa wetu hairidhishi ,hivyo ni wajibu kwa mameneja wetu wa Mkoa wa Wakala ya Barabara Tanzania na Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini kushirikisha viongozi katika utekelezaji wa miundombinu hii muhimu katika uchumi wa Mkoa” amesema Malima

Mkuu wa Mkoa pia amewaomba Wabunge wa Mkoa huo kuunga mkono Mipango mkakati ya vipaumbele na kuchochea ukuaji wa Maendeleo ya Kiuchumi.

Naye Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Dennis Londo amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza bajeti ya Tarura kwa asilimia zaidi ya 300 na kutaka watendaji kusimamia vyema matumizi na kuteua wakandarasi wenye uwezo na sifa za kufanya kazi za miradi ya barabara Vijijini na mijini ikiwemo ya Tanroads.

Kwa upande wake Meneja wa Wakala ya Barabara (TANROADS) Mkoa wa Morogoro ,Mhandisi Lazeck Kyamba akiwasilisha taarifa amesema Mkoa huo umeidhinishiwa zaidi ya Sh bilioni 24 katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2023/2024.

Mhandisi Kyamba amesema kati ya fedha hizo sh bilioni tatu zimeidhinishwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo kutoka Mfuko wa Maendeleo, na kiasi cha sh bilioni 20 zimeidhinishwa kutoka Mfuko wa Barabara kwa ajili ya matengenezo ya barabara na madaraja .

 

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
9 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MONEY
MONEY
1 month ago

CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?

Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”.

Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato

Capture.JPG
SharonHughes
SharonHughes
Reply to  MONEY
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by SharonHughes
MONEY
MONEY
1 month ago

CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?

Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”.

Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato..

R.jpeg
MONEY
MONEY
1 month ago

CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?

Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”.

Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato…

11.jpg
MONEY
MONEY
1 month ago

CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?

Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”.

Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato…..

Screenshot_20190909-051939.jpg
MONEY
MONEY
1 month ago

CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?

Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”…

Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato

Screenshot_20190809-051607.jpg
MONEY
MONEY
1 month ago

CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?

Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”….

Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato

OIP (2).jpeg
MONEY
MONEY
1 month ago

CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?

Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”……….

Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato

OIP (1).jpeg
BessieTrudy
BessieTrudy
1 month ago

★My buddy’s mother makes $90 per hour working on the computer (Personal Computer). ( z77q) She hasn’t had a job for a long, yet this month she earned $15,500 by working just on her computer for 9 hours every day.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com

Back to top button
9
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x