RC Tabora atoa maagizo kwa Wakurugenzi

TABORA; Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dk.Batlida Buriani amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri ya Mkoa wa Tabora kununua viatilifu vya kuua mazalia ya mbu na viluilui kwa mapato yao ya ndani ili kupunguza idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa Malaria.

Agizo hilo amelitoa wakati akiwapokea wabunge wanaounda mtandao wa wabunge wanaopambana na malaria na magonjwa yasiyopewa kipaumbele (TAPAMA) wakifanya ziara kuangalia huduma na maendeleo ya mapambano dhidi ya magonjwa hayo mkoani hapo.

Dk.Batilda ameelezea kiwango cha maambukizi ya ugonjwa wa malaria katika mkoa huo kilikuwa 11.7% kwa watoto kati ya umri wa miezi sita hadi 59 kwa mwaka 2017/2018 hivyo kuongezeka 23.4% hivyo kufanya mkoa huo kuwa na kiwango kikubwa cha maambukizi ya malaria katika jamii.

“Jiografia ya Mkoa wa Tabora kuwa na maeneo mengi yenye madimbwi ya maji yanayotumika katika maeneo mbalimbali ya makazi ya watu hasa kwenye kipindi hiki cha mvua zimechangia kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi ya malaria “amesema Dk.Batilda

Pia,Dk.Batilda amesema kuwa imani potofu iliyojengeka katika jamii juu ya matumizi ya vyandarua vyenye dawa imeongeza hali ya maambukizi ya malaria hali iliyopelekea baadhi ya wananchi kutotumia vyandarua wanavyogaiwa katika vituo vya kutolea huduma za afya kwaajili ya matibabu badala ya waganga wa kienyeji.

 

 

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
EmmaJones
EmmaJones
18 days ago

Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
By Just Follow———————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

Angila
Angila
17 days ago

Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions
.
.
.
On This Website……………..> > http://remarkableincome09.blogspot.com

Scholarship ya Mwanadamu mwenye
Scholarship ya Mwanadamu mwenye
17 days ago

Scholarship ya Mwanadamu mwenye akili ya ‘Kinyonga mdogo zaidi duniani’ aliyegundulika Tanzania

Kinyonga kwa jina Brookesia urefu wake ni milimita 13.5

Wanasayansi wanaamini kuwa wamebaini kinyonga mdogo zaidi duniani ambaye ukubwa wake ni sawa na mbegu.

Vinyonga hao wawili ilibainika nchini Madagasca na timu ya sayanasi ya Ujerumani na Madagasca.

Kinyonga wa kiume aliyepewa jina la Brookesia urefu wake ni milimita 13.5.
Na kinyonga huyo anakuwa mdogo zaidi kati ya spishi karibu 11,500 za vinyonga, kulingana na rekodi ya hifadhi ya wanyama ya taifa ya Bavaria katika mjini mkuu wa Munich.

Urefu wake kutoka juu hadi chini ni milimita 22.
Kinyonga wa kike ni mkubwa kidogo takribani milimita 29, taasisi hiyo imesema, ikiongeza kwamba aina nyingine bado hazijapatikana, licha ya kwamba “juhudi zimekuwa zikiendelea”.

“Kinyonga huyo mpya aliyepatikana kaskazini mwa Madagascar eneo la msitu linalopokea mvua kubwa, huenda yuko katika hatari ya kutoweka,” kulingana na jarida la wanasayansi.

Oliver Hawlitschek, mwanasayansi wa kituo historia huko Hamburg, alisema: “Kwa bahati mbaya eneo alilokuwa akiishi mjusi huyo lilianza kuingiliwa na binadamu lakini likaanza kulindwa hivi karibuni, kwahiyo anawezaa kunusurika.”

Watafiti walibaini kwamba kinyonga huyo alikuwa anatafuta mchwa katika msitu wenye mvua kubwa na kujificha dhidi ya wanyama wala nyama usiku kwenye nyasi.
Katika msitu ambao mjusi Brookesia alipatikana umepakana na misitu mingine kaskazini mwa kisiwa, walisema.

Katika ripoti yao, wanasayansi wamependekeza kuwa kinyonga huyo aorodheshwe kama mnyama aliye hatarini katika orodha ya Shirika la IUCN, linalochunguza hali ya maelfu ya jamii za wanyama kumsaidia kumlinda na makazi yake.

Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x