Refa wa kikongo kuamua fainali shirikisho

SHIRIKISHO la soka Afrika (CAF) limemtangaza mwamuzi mwenye beji ya FIFA, Jean-jacques Ndala (35) raia DR Congo kuwa pilato katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa fainali ya kombe la Shirikisho Afrika kati ya Yanga dhidi USMA Alger Mei 28, 2023 Uwanja Mkapa, Dar-es-Salaam

Taarifa iliyotolewa jana na CAF imeeleza Ndala atasaidiwa na mwamuzi Zakhele Thusi kutoka Afrika Kusini na Olivier Safar kutoka DRC

Ndala anasifika kwa maamuzi yasiyo na mashaka ikiwemo mchezo wa kugombea nafasi ya kushiriki michuano ya Mataifa bingwa Afrika kati ya Ghana dhidi ya Angola Machi 23, 2023 mchezo uliomalizika kwa Ghana kushinda 1-0.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
trackback
4 months ago

[…] post Refa wa kikongo kuamua fainali shirikisho first appeared on […]

Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x