Rostam Aziz aomba radhi

MFANYABIASHARA Rostam Aziz ameomba radhi kufuatia taarifa iliyotolewa na Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania ya kumtaka kuthibitisha shutuma alizozitoa dhidi ya Mahakama ya Tanzania.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 4, 2023 jijini Dar es Salaam mfanyabiashara huyo amekubali kuwa aliteleza wakati akitoka kauli yake ambayo ilioneknaa kuishushia hadhi Mahakama ya Tanzania.

“Nakiri kwamba niliteleza, na uungwana ni kuomba msamaha ninaomba radhi kwa kauli yangu iliyowakwaza watu” amesema Rostam.

Rostam amesema uwekezaji wa sekta binafsi katika bandari una faida kubwa katika ustawi wake.

Ikumbukwe June 26 Rostam Aziz aliishutumu mahakama  hiyo akitilia shaka maamuzi yanayoweza kutolewa na mahakama akisema haina uhuru kwenye maamuzi yake na leo ametoka hadharani na kuomba radhi kwa kauli yake hiyo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Kim
Kim
2 months ago

I worked part-time from my apartment and earned $30,030. After losing my previous business, I quickly became exhausted. Fortunately, I discovered this jobs online, and as a result, I was able to start earning money from home right away. Anyone can accomplish this elite career and increase their internet income by….

After reading this article. . . . . . . . .>>> http://www.Richcash1.com

Last edited 2 months ago by Kim
Stephanie
Stephanie
Reply to  Kim
2 months ago

I make $80 an hour. With a closed home ISP (q) I never thought I’d try to be reachable anyway. e3) My friend made $13,000 in about a month from this great work and thinks he is benefiting too. More add-ons can be found on this page.After this information
CLICK HERE…… https://workscoin1.pages.dev/

Last edited 2 months ago by Stephanie
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x