Samia aongoza kikao CCM
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, leo ameongoza kikao cha Kamati Kuu Maalumu ya Halmashauri Kuu ya chama hicho Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, leo ameongoza kikao cha Kamati Kuu Maalumu ya Halmashauri Kuu ya chama hicho Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma.