Samia, Nyusi watembelea mabanda Sabasaba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais Filipe Jacinto Nyusi  wa Msumbiji wakati wakitembelea mabanda mbalimbali ya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024.

Habari Zifananazo

Back to top button