Saudia, Urusi kupunguza uzalishaji mafuta

LICHA ya changamoto ya upatikanaji na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la dunia, Saudia Arabia na Urusi zimekubaliana kupunguza uzalishaji wa nishati hiyo kwa miezi mitatu hadi Disemba mwaka huu.
–
Bei ya mafuta ilipanda zaidi ya asilimia 1 jana baada ya mataifa hayo kutangaza nyongeza mpya ya upunguzaji wa usambazaji wa hiari, na kuongeza punguzo la jumla la mapipa milioni 1.3 kwa siku (bpd).
–
Hatua hiyo imefanya sasa bei ya mafuta kupanda kufikia zaidi ya Dola 90 sawa Sh 220,000 kwa pipa ikiwa ni kwa mara ya kwanza tangu Novemba 2022.
–
Hatua za Saudi Arabia na Urusi zinaimarisha juhudi za muungano unaojulikana kama OPEC+ unaojumuisha wanachama wa Shirika la Nchi Zinazouza Petroli na wazalishaji wengine kuunga mkono bei ya mafuta kwa kukubali kupunguzwa kwa uzalishaji.
–
Chanzo rasmi kutoka Wizara ya Nishati ya Saudia kililiambia Shirika la Habari la Serikali SPA kwamba hatua hiyo itaongeza upunguzaji wake wa uzalishaji wa mapipa milioni 1 kwa siku hadi mwisho wa Desemba.
Uamuzi huo “utakaguliwa kila mwezi ili kuzingatia kuongeza upunguzaji au kuongeza uzalishaji,” kiliongeza chanzo.
Kaagana na Ukoo wake na Kuuangana na Maendeleo ya Tanzania
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://earncash82.blogspot.com/
Everybody can earn 500 dollars daily. Yes! you can earn more than you think by working online from home. I have been doing this job for like a few weeks and my last week payment was exactly 30,000 dollars.
.
.
Detail Here————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
NILICHOKA KUKULEA MWANANGU SERIKALI IMENIONA NILIKUWA NAKUTAMKIA MAMBO YA AJABU AJABU NILIZANI NAHELA, KWA SABABU NYUMBA YANGU HAINA SLING BOARD
NENDA KALELE KWEYE KITUO
AU
SERIKALI KUZINDUA MAKAO MAKUU YA KITAIFA YA WATOTO
Mdogo wa aliyekuwa Waziri Mkuu, Cleopa Msuya ahamia CHADEMA
KADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka Wilaya ya Mwanga nkoani Kilimanjaro, Samweli David Msuya, amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Msuya ambaye ni mdogo wa Waziri Mkuu wa zamani, Cleopa Msuya, amejiunga na chama hicho kwenye mikutano ya Operesheni Mawaziri Mizigo iliyoanzishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro na Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo kuwashitaki mawaziri hao kwa wapiga kura.
Alisema amejiunga na CHADEMA kwani CCM kimekuwa chama cha kudhulumu watu, kulinda mafisadi na kinaibia wanachama wake.