Sauti ya Balozi Kairuki akieleza mambo yaliyojiri ziara ya Samia nchini China
Tanzania yasamehewa deni| Fursa za Masomo| Soko la parachichi
Balozi wa Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki yaliyojiri leo baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kukutana na mwenyeji wake, Xi Jinping jijini Beijing nchini China Leo.
Sikiliza Sauti yake: