Serikali kubuni vyanzo vipya kusaidia upatikanaji wa Umeme

IRINGA: Serikali imesema itaongeza upatikanaji wa gesi ili kufidia hali ya upungufu wa umeme nchini unaochangiwa na upungufu wa maji kwenye mabwawa yanayozalisha umeme.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk. Doto Biteko wakati alipotembelea mradi wa bwawa la kufua umeme la Mtera ili kujionea hali ya maji kwenye bwawa hilo ambalo limeathiriwa na upungufu wa maji unaosababishwa na ukame kutokana na kuchelewa kwa mvua.
Dk. Biteko amesema Serikali kwa kushirikiana na TANESCO itafanya kila linalowezekana kubuni vyanzo vipya vya upatikanaji umeme ikiwa ni pamoja na gesi ya kutosha ili shughuli za kiuchumi zisiathirike.

Amesisitiza kuwa uchumi wa Wananchi wa Tanzania unategemea sana upatikanaji wa umeme ,hivyo shughuli zozote za kimazingira zikiathiriwa zinaathiri pia hali ya upatikanaji umeme na amewataka Wananchi kutunza vyanzo vya maji na mazingira.
Conference ya wapi Wataelewa:-
· Hospitali (wapeni ugonjwa waumwe wakajadiliane)
· Mama ntilie (wape njaa wakale)
· Hotelini (tengeneza events tualike)
· Kwenye Basi (wape hela tusafiri)
· Nyumbani (mpe hele ajenge)
· Msibani (hakikisheni wanakufa na wawe na mahusiano mema)
· Kijiwe cha kahawa (wape hela waje kunywa kahawa)
· Jeshini (itisha mafunzo maalumu)
· Darasani (anzisheni elimu ya watu wazima)
Umelogwa eti?
Cash generating easy and fast method to work part time and earn an extra $15,000 or even more than this online. By working in my spare time I made $17990 in my previous month and I am very happy now because of this job. you can try this now by following
the details here…… http://Www.Smartcash1.com
I get paid over (250$ to 550$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $35,000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following Link
http://Www.Smartwork1.com
Conference ya wapi Wataelewa:-
· Hospitali (wapeni ugonjwa waumwe wakajadiliane)
· Mama ntilie (wape njaa wakale)
· Hotelini (tengeneza events tualike)
· Kwenye Basi (wape hela tusafiri)
· Nyumbani (mpe hele ajenge)
· Msibani (hakikisheni wanakufa na wawe na mahusiano mema)
· Kijiwe cha kahawa (wape hela waje kunywa kahawa)
· Jeshini (itisha mafunzo maalumu)
· Darasani (anzisheni elimu ya watu wazima)
Umelogwa eti?..
Kuwa mtanzania wa Kwanza kumiliki MAVAZI YA KUELEKEA MWEZINI 2023 KWA GHARAMA YA SHILINGI 1 TU YA KITANZANIA
WIZARA YA NDOTO
HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO
ULIMWENGU WA NDOTO
One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE
Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA
Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU
Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA
Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE
Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR
Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS
Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI
Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI
Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS
Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana
Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..
UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg