Serikali kubuni vyanzo vipya kusaidia upatikanaji wa Umeme

IRINGA: Serikali imesema itaongeza upatikanaji wa gesi ili kufidia hali ya upungufu wa umeme nchini unaochangiwa na upungufu wa maji kwenye mabwawa yanayozalisha umeme.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk. Doto Biteko wakati alipotembelea mradi wa bwawa la kufua umeme la Mtera ili kujionea hali ya maji kwenye bwawa hilo ambalo limeathiriwa na upungufu wa maji unaosababishwa na ukame kutokana na kuchelewa kwa mvua.
Dk. Biteko amesema Serikali kwa kushirikiana na TANESCO itafanya kila linalowezekana kubuni vyanzo vipya vya upatikanaji umeme ikiwa ni pamoja na gesi ya kutosha ili shughuli za kiuchumi zisiathirike.
Amesisitiza kuwa uchumi wa Wananchi wa Tanzania unategemea sana upatikanaji wa umeme ,hivyo shughuli zozote za kimazingira zikiathiriwa zinaathiri pia hali ya upatikanaji umeme na amewataka Wananchi kutunza vyanzo vya maji na mazingira.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
money
money
1 month ago

Conference ya wapi Wataelewa:-
·    Hospitali (wapeni ugonjwa waumwe wakajadiliane)
·    Mama ntilie (wape njaa wakale)
·    Hotelini (tengeneza events tualike)
·    Kwenye Basi (wape hela tusafiri)
·    Nyumbani (mpe hele ajenge)
·    Msibani (hakikisheni wanakufa na wawe na mahusiano mema)
·    Kijiwe cha kahawa (wape hela waje kunywa kahawa)
·    Jeshini (itisha mafunzo maalumu)
·    Darasani (anzisheni elimu ya watu wazima)

Umelogwa eti?

Capture.JPG
Jerrica
Jerrica
Reply to  money
1 month ago

Cash generating easy and fast method to work part time and earn an extra $15,000 or even more than this online. By working in my spare time I made $17990 in my previous month and I am very happy now because of this job. you can try this now by following 
the details here…… http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Jerrica
Johnnie Gault
Johnnie Gault
Reply to  money
1 month ago

I get paid over (250$ to 550$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $35,000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following Link
http://Www.Smartwork1.com

Last edited 1 month ago by Johnnie Gault
money
money
1 month ago

Conference ya wapi Wataelewa:-
·    Hospitali (wapeni ugonjwa waumwe wakajadiliane)
·    Mama ntilie (wape njaa wakale)
·    Hotelini (tengeneza events tualike)
·    Kwenye Basi (wape hela tusafiri)
·    Nyumbani (mpe hele ajenge)
·    Msibani (hakikisheni wanakufa na wawe na mahusiano mema)
·    Kijiwe cha kahawa (wape hela waje kunywa kahawa)
·    Jeshini (itisha mafunzo maalumu)
·    Darasani (anzisheni elimu ya watu wazima)

Umelogwa eti?..

Capture1.JPG
money
money
1 month ago

Kuwa mtanzania wa Kwanza kumiliki MAVAZI YA KUELEKEA MWEZINI 2023 KWA GHARAMA YA SHILINGI 1 TU YA KITANZANIA

Capture.JPG
money
money
1 month ago

WIZARA YA NDOTO

HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO

ULIMWENGU WA NDOTO

One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE

Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA

Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU

Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA

Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE

Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR

Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS

Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI

Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI

Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS

Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION

Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION

Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana

Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..

UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

Capture1.JPG
Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x