Serikali mbioni kusaini mkataba wa LNG
Sh trilioni 70 kuleta mapinduzi ya kiuchumi

SERIKALI ipo hatua za mwisho za maandalizi ya kusaini mkataba wa mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia (LNG) na wawekezaji Kampuni ya Shell ya Uholanzi na Equinor ya Norway .
Hayo yamesemwa leo Julai 3, 2023 Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba katika mdahalo ulioandaliwa na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), kuhusu mafuta na gesi asilia uliofanyika katika Maonyesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba).
Amesema, uwekezaji wa mradi huo ni zaidi ya Shilingi Trilioni 70 utaleta mapinduzi makubwa ya kiuchumi nchini na utaifanya Tanzania kuwa moja ya nchi zinazochangia katika usalama wa nishati dunia.
Mramba amesema, mradi huo wa kuchimba Gesi Asilia katika eneo la Bahari Kuu Kusini mwa Tanzania katika eneo la Likong’o Lindi utakuwa na faida kubwa kwa nchi, ni mradi ambao serikali inatarajia utabadilisha pato la taifa (GDP).
“Uchumi wa nchi yetu na maisha ya watu yatabadilika. Utazalisha ajira, utatoa fursa ya kuweka viwanda vingine, ni mradi ambao utaongeza kiasi cha gesi ambacho kitatumika ndani ya nchi, na kitakachouzwa nje na kuingiza fedha nyingi za kigeni.” Amesema Mramba
Amesema, gesi asilia ambayo Tanzania imegundua kiasi kikubwa kipo baharini, gharama ya kuitoa Baharini ni kubwa umbali wa kutoka nchi kavu kuingia ndani ya Bahari mpaka kufika maeneo ya vile visima, ni kati ya kilometa 120 mpaka 250 ni ndani sana na unaikuta gesi ikiwa kwenye kina kirefu cha Bahari.
“Gharama za uwekezaji ni kubwa lakini huu ndio muda muafaka wa kuvuna rasilimali hiyo ambayo Mungu ameibariki nchi yetu.”Amesema na kuongeza
“Msisahau gesi asilia duniani inatajwa kama nishati mbadala, tunapoelekea dunia inaenda kuhama kutoka kwenye gesi ya hewa ukaa na kutumia nishati ambazo hazizalishi hewa ya ukaa. matumizi ya mafuta na gesi tunapokwenda yataenda kupungua.
Make everyone ( $26,000 __ $38,000 ) A Month Online Making money c7 online more than $20k just by doing simple work With No Prior Experience Or Skills Required. Be Your Own Boss And for more info visit any tab this site Thanks a lot just
open this link.======> http://getjobz12.blogspot.com
Earn income while simply working online. work from home whenever you want. just for maximum 5 hours a day you can make more than $600 per day online. From this i made $18,000 last month in my spare time.
.
.
Detail Here—————————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
I am making easily every month $ 22000 to $ 28000 just by doing simple work from home. This job is online and very easy to do part-time or Full-time even no special experience required for this task. h96 Anyone can now participate in this job and start earning just like me by just click this link….. http://www.pay.hiring9.com