Serikali: Wasiokuwa na dharura wakae nyumbani
SERIKALI imeagiza wananchi wasio na dharura kesho Desemba 9, 2025 washerehekee miaka 64 ya Uhuru wa Tanzania Bara wakiwa nyumbani.
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba akitoa salamu za Uhuru kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo Desemba 8, 2025 amesema ni vyema wananchi wasio na dharura wakakaa nyumbani.
“Serikali inawashauri wananchi wote ambao siku hiyo hawatakuwa na dharura, kusherehekea wakiwa nyumbani isipokuwa kwa wale ambao majukumu yao wanawataka kuwepo katika vituo vyao vya kazi kama watakavyoelekezwa na viongozi wao,” amesema Dk Mwigulu.




Industrialization £56,565,656,000 available for job creation
https://www.bbc.com/swahili/medianuai/2012/11/121110_kisa_mkasa101112
Single Mom Reveals How She Earns $89k/Yr Working 10 Hrs/Week From Home. Tired of paycheck-to-paycheck living? Meet Kelly from New York—a regular mom who cracked the code to recession-proof income without selling a thing! Now,Big thanks …
.
Here is I started____________________ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
Google provides awesome remote work opportunities, allowing me to earn $2000-$3000 weekly with just 2-4 hours of daily work. It’s been a game-changer, offering flexibility and reliable income. If you’re seeking a genuine way to earn online, don’t miss this chance. Start today and transform your life!
.
More Details For Us →→ http://www.big.income9.com
Mtandao ni Darasa! Linaloweza kumpa mtu elimu ujuzi na maarifa. Jukwaa hili ni muhimu kwa kukuza uwezo na Uchumi wako.