Serikali yakabidhi vifaa vya mafunzo vyuo 63

KATIBU Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amekabidhi vifaa vya mafunzo vyenye thamani ya Sh Bilioni 8.4 kwa vyuo 63 vya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA).
SOMA: Vyuo vya ufundi viwekeze katika vifaa vya kufundishia
Makabidhiano hayo yamefanyika leo Oktoba 17, 2025 jijini Dar es Salaam, katika Mkutano wa VETA na Wamiliki wa Viwanda, Waajiri na Wadau wa mafunzo ya Ufundi Stadi.
Vifaa hivyo ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa Serikali wa kuboresha mazingira kufundisha na kujifunza kwa vitendo.
Vifaa hivyo vimenunuliwa na Serikali kwa fedha zilizotengwa katika bajeti ya Mwaka wa fedha 2024/25 kwa lengo la kuimarisha mafunzo ya ufundi stadi nchini.
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com
I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com