Sh bilioni 6 kusaidia watoto njiti nchini

SERIKALI imetoa Sh bilioni 6.3 kwa ajili ya kununua vifaa tiba nchi nzima. Vitaa hivyo vitasaidia watoto wachanga na waliozaliwa kabla ya muda (njiti) kupata afya bora.

Hayo yameelezwa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu akiwa mkoani Shinyanga, amesema vifaa vitakavyokabidhiwa vina thamani ya Sh milioni 170 katika wodi ya watoto mahututi.

Ummy amekabidhi vifaa tiba kwenye Hospitali ya Rufaa na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya, Johari Samizi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Christina Mdeme.

Waziri Ummy alisema amefarijika kuona huduma za afya zinatolewa vizuri kwa wagonjwa na Serikali itaendelea kutoa fedha kwa ajili ya kuboresha huduma bora za afya, pamoja na kuokoa afya za watoto wachanga na njiti.

“Vifaa hivi vitapelekwa pia katika Hospitali ya Kahama na Kishapu, Rais Samia anataka kila Mama Mjamzito aondoke na kichanga chake kiikiwa salama ndiyo maana akatoa vifaa tiba,”alisema Waziri Ummy.

Waziri Ummy aliwataka wakurugenzi kutenga fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya kuongeza nguvu ya kuajiri watumishi wa afya ili wananchi wapate huduma.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Johari Samizi alishukuru kupokea kwa vifaa huku akiwahidi yote yaliyo elezwa watayasimamia na kutekeleza ipasavyo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
zirdubamlu
zirdubamlu
2 months ago

Making an extra $15,000 per month from home by doing easy copy and paste type internet work. I earned $18,000 from this simple at-home job. Everyone may now easily generate additional money online working

Detail Here———————>>> http://www.dailypro7.com

 

Patricia S. Pyburn
Patricia S. Pyburn
Reply to  zirdubamlu
2 months ago

 

I work an online job from home and earn 185 dollars per hour. I never imagined I could do it, but my best friend, who makes $15,000 a month at the job, encouraged me to find out more about it. This has limitless possibilities.
.
.
.
Details Are Here—————->>> https://fastinccome.blogspot.com/

BarbaraElms
BarbaraElms
2 months ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE….. https://onlineweb76.blogspot.com/

Last edited 2 months ago by BarbaraElms
Listrella
Listrella
2 months ago

!!!! Welcome to the best sex dating site — https://ok.me/wqPA1

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x