Simba SC mwaka wa tabu

Simba SC imeendelea kuangusha pointi kwa mara nyingine baada ya leo kuambulia sare ya bao 1-1 dhidi ya Namungo, mchezo wa Ligi Kuu uliopigwa uwanja wa Mkapa Dar es Salaam.
Katika mchezo huo, Namungo ilikuwa ya kwanza kupata bao dakika ya 29 lililofungwa na Reliants Lusajo dakika ya29.
Jean Baleke alifunga bao la kusawazisha dakika ya 75 na mchezo kuisha hivyo.
Matokeo hayo yanaiweka Simba SC nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi, ikiwa na pointi 19, wakati Yanga ikiongoza kwa pointi 24.
I get paid more than $120 to $130 every hour for working on the web. I found out about this activity 3 months prior and subsequent to joining this I have earned effectively $15k from this without having internet working abilities copy underneath site to check it.
.
.
Detail Here—————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com