Simba waachana na Kakolanya

KLABU ya Simba imetangaza kuachana na mlinda lango wake Beno Kakolanya mara baada ya kumalizika kwa mkataba wake.
Kwenye taarifa iliyotolewa Juni 22,2023 kwenye kurasa za mitandao za Simba timu hiyo imemshukuru Kakolanya kwa mchango wake kwenye kikosi hicho cha mitaa ya Msimbazi Dar es Salaam.
“Uongozi wa klabu unaujulisha umma kuwa hatutaendelea kuwa na mlinda mlango, Beno Kakolanya baada ya mkataba wake kumalizika,” imesema taarifa hiyo.
Last month i managed to pull my first five figure paycheck ever!!! I’ve been working for this company online for 2 years now and i never been happier… They are paying me $95/per hour and the best thing is cause i am not that tech-savy, they only asked for basic understanding of internet and basic typing skill… It’s been an amazing experience working with them and i wanted to share this with you, because they are looking for new people to join their team now and i highly recommend to everyone to apply…
…
Visit following page for more information………..>>> http://www.Richcash1.com