Stars ushindi lazima kufuzu AFCON leo
TIMU ya taifa “Taifa Stars” leo inashuka dimbani kuikabili Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo-DR Congo katika mchezo muhimu wa kufuzu fainali za Kombe Mataifa ya Afrika(AFCON) Morocco 2025.
Stars inahitaji ushindi katika mchezo huo wa kundi H kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam ili kujiweka sawa katika mbio za kuwania nafasi kushiriki fainali hizo.
SOMA: Taifa Stars yafuzu tena michuano ya AFCON 2023
Msimamo wa kundi H ni kama ifuatavyo:
Group H
| TIMU | P | W | D | L | GF | GA | +/- | Pts | |||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 |
![]()
|
|
3 | 3 | 0 | 0 | 4 | 0 | 4 | 9 | |||
| 2 |
![]()
|
|
3 | 1 | 1 | 1 | 2 | 2 | 0 | 4 | |||
| 3 |
![]()
|
|
3 | 1 | 0 | 2 | 5 | 4 | 1 | 3 | |||
| 4 |
![]()
|
|
3 | 0 | 1 | 2 | 1 | 6 | -5 | 1 |
Michezo mingine ya kufuzu AFCON Morocco 2025 inayofanyika leo ni kama ifuatavyo:
KUNDI A
Comoro vs Tunisia
KUNDI B
Lesotho vs Gabon
Jamhuri ya Afrika ya Kati vs Morocco
KUNDI C
Rwanda vs Benin
Libya vs Nigeria
KUNDI F
Sudan vs Ghana
Niger vs Angola
KUNDI G
Chad vs Zambia
Sierra Leone vs Ivory Coast
KUNDI H
Ethiopia vs Guinea
KUNDI I
Guinea-Bissau vs Mali
KUNDI K
Sudan Kusini vs Uganda
Congo vs Afrika Kusini
KUNDI L
Malawi vs Senegal
/images.sports.gracenote.com/images/lib/basic/geo/country/flag/large/4388.png)
/images.sports.gracenote.com/images/lib/basic/geo/country/flag/large/6622.png)
/images.sports.gracenote.com/images/lib/basic/geo/country/flag/large/6655.png)
/images.sports.gracenote.com/images/lib/basic/geo/country/flag/large/4335.png)



