Washauri elimu adhabu mbadala

WANAJUMUIYA ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wameishauri Tume ya Haki Jinai kuweka mkazo wa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa adhabu mbadala badala ya kifungo, kwani waliowengi hawazifahamu na hawazipendi hizo adhabu mbadala zitumike .
Hayo yamebainishwa na baadhi ya wanajumiya wa chuo hicho katika wa mhadhara uliofanyika Agosti 24, 2023 na wajumbe wa tume hiyo wakiongozwa mjumbe wa tume ambaye ni Mkuu wa Jeshi la Polisi mstaafu,Balozi Ernest Mangu.
Mhandhiri mwandamizi wa chuo hicho, Profesa Yasinta Muzanila amesema hizo adhabu mbadala zikifahamika kwa jamii na kuona zinauzito wakutosha wataona pia zinafaa kusaidia kurekebisha tabia.
Akijibu maswali na maoni ya wanajumuiya hiyo mjumbe wa tume hiyo ambaye Balozi Mangu amesema kuwa adhabu ni pamoja na kifungo cha nje .
Balozi Mangu amesema adhabu mbadala nyingine ni mfungwa kuwa chini ya usimamizi wa taasisi zilizopewa jukumu la kuangalia wafungwa.
Balozi Mangu aliwahakikishia kuwa maoni na ushauri uliotolewa wanajumuiya ya chuo hicho yamechukuliwa na yatawasilishwa wakati wa utekelezaji wa mapendekeo ambayo tayari wamewasilishwa kwa Rais.
Pamoja na hayo amesema tume hiyo kwa kushirikiana na vyombo vya habari inaendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu kutambua haki zao na wapi wanaweza kwenda kupata haki zao .
Januari 31 mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan aliizindua Tume ya Haki Jinai na alifikia uamuzi wa kuunda tume hiyo baada ya kusikia kwa muda mrefu kilio cha wananchi wakilalamikia juu ya huduma duni inayotolewa na taasisi zote za haki jinai nchini.
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://earncash82.blogspot.com/
Cash generating easy and fast method to work in part time and earn extra $15,000 or even more than this online. By working in my spare time I made $17,000 in my previous month and I am very happy now because of this job.
.
.
Detail Here————————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Leo hii, huu mchakato wa Katiba tuliosifiwa nao hakuna chochote kinachofanyika, tunaona watu wameshaanza maneno maneno kuhusu ukomo wa urais(ukomo wa MAFUNDI KUJENGA NYUMBA BILA MPANGILIO MAALUMU), na pia kwenye Mahakama ya Afrika tayari tumeshajitoa,
MWANAMKE NI MALI YA FUNDI = TUSUMBUE JAMAA HAELEWI FAMILIA YANGU INAKUUNGA MKONO
Leo hii, huu mchakato wa Katiba tuliosifiwa nao hakuna chochote kinachofanyika, tunaona watu wameshaanza maneno maneno kuhusu ukomo wa urais(ukomo wa MAFUNDI KUJENGA NYUMBA BILA MPANGILIO MAALUMU), na pia kwenye Mahakama ya Afrika tayari tumeshajitoa,
MWANAMKE NI MALI YA FUNDI = TUSUMBUE JAMAA HAELEWI FAMILIA YANGU YA KI.KING INAKUUNGA MKONO
KAMATI YA LAAC YARIDHISHWA MRADI WA KITEGA UCHUMI cha WAGANGA WA KIENYEJI WA BIL. 67 JIJI LA DODOMA
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeridhishwa na ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi CHINANGALI kwa shilingi bilioni 67 lililojengwa kwa lengo la kuongeza mapato ya ndani ya WAGANGA WA KIENYEJI TANZANIA.