‘Taasisi za kifedha ziwezeshe wajasiriamali’

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es Salaam, Rashid Mangara, amezitaka taasisi za kifedha kuongeza ubunifu katika utoaji wa huduma zao, hususan mikopo yenye masharti nafuu ili kuwasaidia wajasiriamali wadogo kukuza shughuli zao za kiuchumi.

Mangara ametoa kauli hiyo leo Februari 28, jijini Dar es Salaam, wakati wa semina ya elimu kuhusu matumizi ya nishati safi na umuhimu wa kuweka akiba. Amesema upatikanaji wa mikopo yenye masharti rafiki utasaidia kuongeza kipato na kuimarisha ustawi wa wananchi, hususan makundi yenye uhitaji maalumu.

Katika semina hiyo, amewahimiza askari wa magereza kujipanga na kutumia ipasavyo fursa za kifedha pamoja na mafunzo mbalimbali yanayotolewa na taasisi tofauti, ili kujiimarisha kiuchumi. Amesisitiza kuwa nidhamu ya kifedha na uwekezaji sahihi ni msingi wa maendeleo binafsi na ya taifa kwa ujumla.

Aidha, Mangara ameeleza kuwa jamii inapaswa kuchukua hatua za makusudi katika matumizi ya nishati safi kwa manufaa ya afya, uhifadhi wa mazingira na ustawi wa jamii kwa ujumla.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Taasisi ya TAWEN, Florence Masunga, amesema lengo la kutoa elimu ya nishati safi katika magereza ni kuhakikisha kuwa elimu hiyo inawafikia watu wa kada zote, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.

Habari Zifananazo

6 Comments

  1. ## 📢 TANGAZO LA AJIRA

    ### Nafasi: Editor wa Kitabu cha Jamii

    **Kampuni: Yati Company Ltd**

    **Mahali:** Dar es Salaam, Tanzania
    **Aina ya Ajira:** Mkataba wa mwaka 1 (unaoweza kuongezwa)
    **Tarehe ya Mwisho wa Kutuma Maombi:** 30 Machi 2026

    ### 📝 Majukumu ya Kazi:

    * Kuhariri na kusahihisha maandiko ya kitabu cha jamii kwa usahihi wa lugha na mtiririko mzuri.
    * Kushirikiana na waandishi, wachapishaji na wabunifu wa maudhui.
    * Kuhakikisha maudhui yanazingatia maadili, utamaduni na malengo ya kampuni.
    * Kupanga ratiba ya uhariri na kuhakikisha kazi inakamilika kwa wakati.
    * Kufanya utafiti wa ziada inapohitajika ili kuboresha ubora wa maudhui.

    ### 🎓 Sifa za Mwombaji:

    * Shahada ya Uandishi wa Habari, Fasihi, Mawasiliano au taaluma inayohusiana.
    * Uzoefu wa angalau miaka 2 katika uhariri wa vitabu au maudhui ya jamii.
    * Uwezo mzuri wa Kiswahili fasaha (na Kiingereza ni ziada).
    * Uwezo wa kutumia programu za uhariri kama Microsoft Word na Google Docs.
    * Umakini mkubwa kwa maelezo na uwezo wa kufanya kazi chini ya shinikizo.

    ### 📩 Jinsi ya Kutuma Maombi:

    Tuma barua ya maombi, wasifu (CV), na sampuli ya kazi zako za uhariri kupitia barua pepe:
    📧 **[hr@yati.co.tz](mailto:hr@yati.co.tz)**
    Au fika ofisi za Yati Company Ltd, Dar es Salaam.

    **Yati Company Ltd ni mwajiri anayetoa fursa sawa kwa wote. Wanawake na vijana wanahimizwa kuomba.**

  2. ## 📢 TANGAZO LA AJIRA

    ### Nafasi: Editor wa Kitabu cha Jamii

    **Kampuni: Yati Company Ltd**

    **Mahali:** Dar es Salaam, Tanzania
    **Aina ya Ajira:** Mkataba wa mwaka 1 (unaoweza kuongezwa)
    **Tarehe ya Mwisho wa Kutuma Maombi:** 30 Machi 2026

    ### 📝 Majukumu ya Kazi:

    * Kuhariri na kusahihisha maandiko ya kitabu cha jamii kwa usahihi wa lugha na mtiririko mzuri.
    * Kushirikiana na waandishi, wachapishaji na wabunifu wa maudhui.
    * Kuhakikisha maudhui yanazingatia maadili, utamaduni na malengo ya kampuni.
    * Kupanga ratiba ya uhariri na kuhakikisha kazi inakamilika kwa wakati.
    * Kufanya utafiti wa ziada inapohitajika ili kuboresha ubora wa maudhui.

    ### 🎓 Sifa za Mwombaji:

    * Shahada ya Uandishi wa Habari, Fasihi, Mawasiliano au taaluma inayohusiana.
    * Uzoefu wa angalau miaka 2 katika uhariri wa vitabu au maudhui ya jamii.
    * Uwezo mzuri wa Kiswahili fasaha (na Kiingereza ni ziada).
    * Uwezo wa kutumia programu za uhariri kama Microsoft Word na Google Docs.
    * Umakini mkubwa kwa maelezo na uwezo wa kufanya kazi chini ya shinikizo.

    ### 📩 Jinsi ya Kutuma Maombi:

    Tuma barua ya maombi, wasifu (CV), na sampuli ya kazi zako za uhariri kupitia barua pepe:
    📧 **[hr@yati.co.tz](mailto:hr@yati.co.tz)**
    Au fika ofisi za Yati Company Ltd, Dar es Salaam.

    **Yati Company Ltd ni mwajiri anayetoa fursa sawa kwa wote. Wanawake na vijana wanahimizwa kuomba.**

    —.

  3. ## 📢 TANGAZO LA AJIRA

    ### Nafasi: Editor wa Kitabu cha Jamii

    **Kampuni: Yati Company Ltd**

    **Mahali:** Dar es Salaam, Tanzania
    **Aina ya Ajira:** Mkataba wa mwaka 1 (unaoweza kuongezwa)
    **Tarehe ya Mwisho wa Kutuma Maombi:** 30 Machi 2026

    ### 📝 Majukumu ya Kazi:

    * Kuhariri na kusahihisha maandiko ya kitabu cha jamii kwa usahihi wa lugha na mtiririko mzuri.
    * Kushirikiana na waandishi, wachapishaji na wabunifu wa maudhui.
    * Kuhakikisha maudhui yanazingatia maadili, utamaduni na malengo ya kampuni.
    * Kupanga ratiba ya uhariri na kuhakikisha kazi inakamilika kwa wakati.
    * Kufanya utafiti wa ziada inapohitajika ili kuboresha ubora wa maudhui.

    ### 🎓 Sifa za Mwombaji:

    * Shahada ya Uandishi wa Habari, Fasihi, Mawasiliano au taaluma inayohusiana.
    * Uzoefu wa angalau miaka 2 katika uhariri wa vitabu au maudhui ya jamii.
    * Uwezo mzuri wa Kiswahili fasaha (na Kiingereza ni ziada).
    * Uwezo wa kutumia programu za uhariri kama Microsoft Word na Google Docs.
    * Umakini mkubwa kwa maelezo na uwezo wa kufanya kazi chini ya shinikizo.

    ### 📩 Jinsi ya Kutuma Maombi:

    Tuma barua ya maombi, wasifu (CV), na sampuli ya kazi zako za uhariri kupitia barua pepe:
    📧 **[hr@yati.co.tz](mailto:hr@yati.co.tz)**
    Au fika ofisi za Yati Company Ltd, Dar es Salaam.

    **Yati Company Ltd ni mwajiri anayetoa fursa sawa kwa wote. Wanawake na vijana wanahimizwa kuomba.**

    —..

  4. ## 📢 TANGAZO LA AJIRA

    ### Nafasi: Editor wa Kitabu cha Jamii

    **Kampuni: Yati Company Ltd**

    **Mahali:** Dar es Salaam, Tanzania
    **Aina ya Ajira:** Mkataba wa mwaka 1 (unaoweza kuongezwa)
    **Tarehe ya Mwisho wa Kutuma Maombi:** 30 Machi 2026

    ### 📝 Majukumu ya Kazi:

    * Kuhariri na kusahihisha maandiko ya kitabu cha jamii kwa usahihi wa lugha na mtiririko mzuri.
    * Kushirikiana na waandishi, wachapishaji na wabunifu wa maudhui.
    * Kuhakikisha maudhui yanazingatia maadili, utamaduni na malengo ya kampuni.
    * Kupanga ratiba ya uhariri na kuhakikisha kazi inakamilika kwa wakati.
    * Kufanya utafiti wa ziada inapohitajika ili kuboresha ubora wa maudhui.

    ### 🎓 Sifa za Mwombaji:

    * Shahada ya Uandishi wa Habari, Fasihi, Mawasiliano au taaluma inayohusiana.
    * Uzoefu wa angalau miaka 2 katika uhariri wa vitabu au maudhui ya jamii.
    * Uwezo mzuri wa Kiswahili fasaha (na Kiingereza ni ziada).
    * Uwezo wa kutumia programu za uhariri kama Microsoft Word na Google Docs.
    * Umakini mkubwa kwa maelezo na uwezo wa kufanya kazi chini ya shinikizo.

    ### 📩 Jinsi ya Kutuma Maombi:

    Tuma barua ya maombi, wasifu (CV), na sampuli ya kazi zako za uhariri kupitia barua pepe:
    📧 **[hr@yati.co.tz](mailto:hr@yati.co.tz)**
    Au fika ofisi za Yati Company Ltd, Dar es Salaam.

    **Yati Company Ltd ni mwajiri anayetoa fursa sawa kwa wote. Wanawake na vijana wanahimizwa kuomba.**

    —….

  5. $120/hr provide by GOOGLE, I am making a good salary from home $6580-$7064/week , which is amazing, under a year ago I was jobless in a horrible economy. I thank God every day I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with Everyone, .

    Here is I started______________________ w­­w­­w­­.t­­o­­d­­a­­y­­.­­e­­a­­r­­n­­5­­4­­.c­­o­­m

  6. I started this as a simple side hustle, and last month I made a little over $6,137 just working a few hours a day from my phone. If you want to check out how it works, the website has all the details.
    Here—>> http://www.giftpay7.vip

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button