Takukuru kutafiti akili bandia mifumo manunuzi

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inafanya utafiti wa kutumia akili bandia ili kuongeza uwazi na uwajibikaji katika mifumo ya ununuzi na michakato ya ufuatiliaji kwa kutumia teknolojia ya kisasa.

Mtafiti kutoka Takukuru, Manyama Venancy ameeleza hayo na kusema lengo la kutumia akili bandia ni kwa kuwa kumekuwa na tatizo kubwa la rushwa nchini.

Ameeleza zaidi kuwa,”Tulibuni kufanya uchunguzi wa akili bandia kuongeza uwezo na uwajibikaji katika mifumo ya ununuzi na michakato ya ufuatiliaji kwa kutumia teknolojia ya kisasa tutaweza kufanya utafiti wa mfumo ambao utapatia takukuru viashiria kwa kutokea kwa rushwa,”.

Amesema viashiria hivyo vya rushwa vitakapoonekana takukuru itaingilia huo mchakato ili kuzuia hali hiyo.

“Tunatarajia mchakato ukikamilika uwazi na uwajibikaji utaongezeka pia itapunguza rushwa, ikiwa ni pamoja na kupata maendeleo yaliyokusudiwa kwa wakati,” amesema.

Awali amesema kumekuwa na tatizo kubwa la rushwa katika nchi zinazoendelea, hapa nchini kuna shida kwenye manunuzi ya umma hasa katika miradi ya maendeleo kulingana na taarifa ya International Transparent inaonyesha;

“Karibu asilimia 20 ya bajeti iliyowekwa katika miradi ya maendeleo huwa inapotea kutokana na vitendo vya rushwa katika mifumo au michakato ya manunuzi,” amesema.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Carolyne Nombo alinukuliwa kusema kuwa utafiti na ubunifu umechangia kutatua changamoto mbalimbali  katika jamii ya watanzania.

Na kwamba uwekezaji wa serikali na wadau wengine katika utafiti nchini umewezesha kupatikana ufumbuzi wa changamoto mbalimbali ikiwemo upatikanaji wa mbegu bora za mimea, mbolea, viuatilifu asilia na chanjo za magonjwa ya mifugo.

Alisema hali hiyo imesababisha serikali kuendelea kuongeza rasiliamali fedha kuweka mazingira rafiki na wezeshi ili  kuvutia wadau wengine ndani na nje ya nchi kuwekeza katika utafiti na ubunifu.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MONEY
MONEY
1 month ago

WIZARA YA NDOTO

HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO

ULIMWENGU WA NDOTO

One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE

Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA

Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU

Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA

Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE

Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR

Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS

Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI

Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI

Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS

Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION

Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION

Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana

Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..

UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE

OIP (1).jpeg
Work AT Home
Work AT Home
Reply to  MONEY
1 month ago

I make $100h while I’m daring to the furthest corners of the planet. Last week I worked by my PC in Rome, Monti Carlo finally Paris… This week I’m back in the USA. All I do are basic tasks from this one cool site. see it, 
Copy Here→→→→→ http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Work AT Home
MONEY
MONEY
1 month ago

WIZARA YA NDOTO

HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO

ULIMWENGU WA NDOTO

One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE

Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA

Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU

Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA

Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE

Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR

Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS

Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI

Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI

Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS

Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION

Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION

Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana

Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..

UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE…

Capture1.JPG
MONEY
MONEY
1 month ago

Kuwa mtanzania wa Kwanza kumiliki MAVAZI YA KUELEKEA SAYARI YA MWEZINI 2023 KWA GHARAMA YA SHILINGI 1 TU YA KITANZANIA – KUNA BARAFU SANA

Capture.JPG
MONEY
MONEY
1 month ago

Kuwa mtanzania wa Kwanza kumiliki MAVAZI YA KUELEKEA SAYARI YA MWEZINI 2023 KWA GHARAMA YA SHILINGI 1 TU YA KITANZANIA – KUNA BARAFU SANA…

Capture.JPG
MONEY
MONEY
1 month ago

Kuwa mtanzania wa Kwanza kumiliki MAVAZI YA KUELEKEA SAYARI YA MWEZINI 2023 KWA GHARAMA YA SHILINGI 1 TU YA KITANZANIA – KUNA BARAFU SANA…….

Capture1.JPG
Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x