Timu ya Bunge ya Netball yaichapa Benki ya NMB

Timu ya Bunge ya Netball yaibuka kidedea kwa kuicharanga timu ya Benki ya NMB magoli 29 kwa 4 wakati wa NMB Bunge Bonanza leo tarehe 17 Septemba, 2022 katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma.

 

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments
Back to top button
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x