Timu ya Bunge ya Netball yaichapa Benki ya NMB

Timu ya Bunge ya Netball yaibuka kidedea kwa kuicharanga timu ya Benki ya NMB magoli 29 kwa 4 wakati wa NMB Bunge Bonanza leo tarehe 17 Septemba, 2022 katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma.

 

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button