TTCL kuimarisha huduma za mawasialiano Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) David Nchimbi Ikulu Zanzibar.

Katika mazungumzo hayo, Dk. Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) itaendelea kushirikiana na TTCL katika kuimarisha huduma za mawasiliano Zanzibar kupitia huduma mbalimbali zinazotolewa na shirika hilo.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL, David Nchimbi amemshukuru Rais Dk. Mwinyi kwa ushirikiano unaoendelea kati ya shirika hilo na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuimarisha huduma za mawasiliano. SOMA: TTCL waja kivingine huduma intaneti

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 12000-16700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern…………………… http://Www.Cash54.Com

  2. I just came across this amazing way to earn $11,000-$15,000 a month online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
    .
    This is what I do…………………… http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button