Ujenzi wa mfumo wakusaidia mtiririko mzuri wa utendaji kazi waanza
Kufanya tathimini, na tafiti za sheria

UJENZI wa mfumo wa kieletroniki wa utendaji kazi za mapitio, tathmini na utafiti wa sheria mbalimbali za Tanzania Bara umeanza.
Ujenzi huo utarahisisha utekelezaji wa majukumu, kupunguza gharama, na kuboresha utunzaji wa kumbukumbu za nyaraka.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, Griffin Mwakapeje ameeleza hayo alipofungua kikao cha wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ( Tehama), kutoka Taasisi mbalimbali.
Mwakapeje amesema mfumo huo utakapokamilika utasaidia kurahisisha Mtiririko wa utendaji kazi, kufanya tathmini mbalimbali zitakazosaidia kubaini idadi ya mapendekezo ya Tume yaliyotumika katika maboresho.
Pia kuunda sheria mpya na utapunguza gharama wakati wa kuandika maandiko mbalimbali.
“Serikali imeridhia Uwepo wa mfumo huo na ni ukweli kwamba utawasaidia sana watafiti wetu katka utendaji kazi za Mapitio, Tathmini, na Utafiti wa Sheria mbalimbali,” amesema..
Amewataka wataalamu hao kuhakikisha mfumo unaweza kuwasiliana au kushirikiana na mifumo mingine ili dhana ya kurahisha utendaji kazi iweze kupatikana kwa urahisi.
Amesema kwa kutumia mfumo huo kutasaidia kupunguza gharama na muda kwa kuwa utakuwa na uwezo wa kuwasiliana na mifumo mingine ya Taasisi za Kisheria ikiwemo mifumo ya Wizara ya Katiba na Sheria, Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na mifumo ya Mahakama.
Ameongeza Tanzania kuna sheria zaidi ya 450 ambazo zinapaswa kuzifanyia mapatio ili kuona zinaendana na uhalisia katika mazingira ya sasa.
I get paid more than $140 to $170 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this I have earned easily $10k from this without having online working skills . Simply give it a shot on the accompanying site…
ONLY COPY AND OPEN.… https://onlinesite76.blogspot.com
Earn income while simply working online. t23 work from home whenever you want. just for maximum 5 hours a day you can make more than $600 per day online. From this I made $18,000 last month in my spare time.
.
.
Detail Here=======================>>> http://www.SmartCash1.com
Cash generating easy and fast method to work in part time and earn extra $15,000 or even more than this online. By working in my spare time i made $17,000 in my previous month and i am very happy now because of this job.
.
.
Detail Here———————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Leo hii, huu mchakato wa Katiba tuliosifiwa nao hakuna chochote kinachofanyika, tunaona watu wameshaanza maneno maneno kuhusu ukomo wa urais(ukomo wa MAFUNDI KUJENGA NYUMBA BILA MPANGILIO MAALUMU), na pia kwenye Mahakama ya Afrika tayari tumeshajitoa,
MWANAMKE NI MALI YA FUNDI = TUSUMBUE JAMAA HAELEWI FAMILIA YANGU INAKUUNGA MKONO
KAMATI YA LAAC YARIDHISHWA MRADI WA KITEGA UCHUMI cha WAGANGA WA KIENYEJI WA BIL. 67 JIJI LA DODOMA
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeridhishwa na ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi CHINANGALI kwa shilingi bilioni 67 lililojengwa kwa lengo la kuongeza mapato ya ndani ya WAGANGA WA KIENYEJI TANZANIA.