‘Uvuvi haramu una athari kwa walaji samaki’

DAR ES SALAAM; WAVUVI nchini wametakiwa kufuata kanuni za uvuvi na kuachana na uvuvi haramu kwani una athari kubwa kwa walaji wa samaki.
Kauli hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi Kikosi cha Wanamaji Tanzania, Moshi Sokoro, akizungumza na HabariLEO na kuongeza kuwa uvuvi haramu wa kutumia nyavu ndogo ‘kokoro’ ndiyo unaongoza katika matukio ya uhalifu wa uvuvi haramu.
Amesema licha ya kokoro makosa mengine wanayokutana nayo ni utumiaji wa baruti wakati wa kuvua samaki.
Amesema katika kudhibiti hali hiyo kwa kipindi cha 2022 na 2023, watuhumiwa 17 wamekamatwa na kufikishwa katika vyombo vya sheria.
“Baadhi ya makosa yametolewa uamuzi na watuhumiwa kulipa faini mahakamani, mengine majalada yapo chini ya upelelezi,” amesema.
“Sasa tukifanya uvuvi haramu maana yake tunaua mazalia ya samaki kama makokoro na baruti kwa kuwa yanaenda kuvunja matumbawe na miamba ambayo inajijenga kwa muda mrefu na ndipo yaliopo mazalia ya samaki. Unapoivunja maana yake hata mayai ya samaki au samaki wanakosa sehemu ya kutagia.
“Kwa hiyo mwisho wa siku tutakuwa na bahari ambayo haina samaki,” amesema.
I am now making more than 350https://s.w.org/images/core/emoji/14.0.0/svg/1f4b0.svg dollars per day by working online from home without investing any money.Join this link posting job now and start earning without investing or selling anything…….
🙂 AND GOOD LUCK.:)..____ http://Www.Careers12.com
★ I am receiving $88 every hour to work on-net. (d 61w) I’ve never believed like it can be achievable however YHUG one of my greatest pal got $27,000 just in three weeks just working this simple project & she influenced me to avail…
🙂 HERE══════►►► http://Www.SmartCareer1.com
[ JOIN US ] I am making a good salary from home 16580-47065/ Doller week , which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. I thank God every day I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with Everyone,
Here is I started.…………>> http://www.works75.com
MTONYO:- NHC, WATUMISH HOUSING, TBA TWENDE ZAMBIA
144.Mheshimiwa Spika, vilevile, Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 imeanza kutekeleza mradi wa kuendeleza viwanja vya Serikali jijini Lusaka, Zambia kwa kiasi cha Kwacha 500,000,000 (takriban shilingi bilioni 66.1) kwa kutumia utaratibu maalumu katika ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Zambia. Mradi huu unahusisha ujenzi wa majengo 10 kama inavyoonekana kwenye Kiambatisho Na. II cha Hotuba hii. Hadi Aprili 2023 Wizara imekamilisha tathmini ya zabuni za kampuni za ushauri elekezi zilizowasilisha maombi ya kuonesha nia (expression of interest) ya kusanifu majengo hayo. Zabuni ya kazi ya usanifu wa majengo hayo imetangazwa mwezi Mei 2023, na tuzo ya zabuni kwa kampuni zilizoshinda inatarajiwa kutolewa mwezi Juni 2023