Uzinduzi Mbio za Mwenge wa Uhuru 2026 Pemba

MATUKIO ya picha mbalimbali za uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru katika uwanja wa Gombani Stadium Kisiwani Pemba. Tukio ambalo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi




