Vilio kuaga watumishi 7 waliokufa ajali ya boti

KIGOMA; MKUU wa Mkoa Kigoma, Balozi Simon Sirro ameongoza viongozi wa serikali na mamia ya wananchi wa Mkoa Kigoma kuaga miili ya watumishi 7 wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma waliofariki kwa kuzama na boti Ziwa Tanganyika jana, huku vilio vikitawala wakati wa kuaga miili hiyo.

Akizungumza wakati wa kuaga miili hiyo, Balozi Sirro alisema kuwa marehemu wanaagwa wakiwa mashujaa, kwani wamekufa wakitekeleza majukumu ya kitaifa na kwamba ni simanzi kubwa kupoteza idadi kubwa ya watumishi, huku wengine wakiwa ndiyo wanaanza taratibu za utumishi.

Amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amechukua jukumu lote la a kugharamia masanduku ya kusafirishia miili hiyo, pia rambi rambi ya Sh milioni moja kwa kila mwili na shilingi 200,000 kwa kila majeruhi na kwamba gharama za matibabu zote zitalipwa na serikali hata ikilazimika kupata rufa kwenye hospitali kubwa nchini.

Miili ya watumishi waliagwa ni Erick Dabanga (27), Jofrey Aron (26), Rachael Msalila (29), Winny Bayabusani (32), Joyce Kandole (31), Paul Luvanda (31) na Omari Karim (29) na hadi sasa mwili wa Amos Sika haujapatikana.

Habari Zifananazo

6 Comments

  1. Many people in the United States and other parts of the world have lost their regular occupations. This was terrible, and I understand how you felt when you had no money left for your family. But I’m here to give a simple method that will fix all of your money issues right now. Working from home might earn you more than $15k each month simply by remaining at home. So, for further information, go to this website immediately and start earning right away………..

    GOOD LUCK. ==-…………………………….-=>>) https://earnsmartwithus.netlify.app/

    1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 12000-16700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
      .
      This is my main concern…………………… http://Www.Cash54.Com

      1. Google paid $200 a hour on the internet..my close relative has been without labor for nine months and the earlier month her compensation check was $51005 by working at home for 10 hours a day….. E­v­e­r­y­b­o­d­y m­u­s­t t­r­y t­h­i­s j­o­b n­o­w b­y j­u­s­t u­s­e ­t­h­i­s

        GOOD LUCK.:) http://www.giftpay7.vip

    2. I just came across this amazing way to earn $11,000-$15,000 a month online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
      .
      This is what I do…………………… http://Www.Payathome9.Com

  2. Many people in the United States and other parts of the world have lost their regular occupations. This was terrible, and I understand how you felt when you had no money left for your family. But I’m here to give a simple method that will fix all of your money issues right now. Working from home might earn you more than $15k each month simply by remaining at home. So, for further information, go to this website immediately and start earning right away………..

    GOOD LUCK. ==-…………………………….-=>>) https://earnsmartwithus.netlify.app/

  3. I am making a good salary from home $4580-$5240/week , which is amazing und­er a year ago I was jobless in a horrible economy. I thank God every day I was blessed with these instructions and now its my duty to pay it forward and share it with Everyone,

    Here is I started_______ ­­W­­w­­w­­.­­W­­o­­r­­k­­2­­7­­.­­O­­n­­l­­i­­n­­e­­

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button