Wachinja Ng’ombe sita ufunguzi wa Zahanati

SONGWE: Wananchi wa Kijiji Cha Senga Kata ya Kamsamba wilayani Momba Mkoani Songwe wamechinja ng’ombe sita kusherekea kufunguliwa Zahanati inayotegemewa kupunguza vifo vya mama na watoto wachanga hasa wakati wa kujifungua vilivyokuwa vikitokea katika Kijiji hicho.
Wakiongea na HabariLeo katika ufunguzi wa Zahanati Hiyo inayotegemewa kuhudumia zaidi ya Wananchi 5000 wa kijiji hicho na Vijiji jirani wamesema changamoto za akina mama kujifungulia njiani na wengine kufia njiani zitapungua.
Mwenyekiti wa Kijiji Senga Cloud Mpepo amesema walianza kujenga Zahanati Hiyo mwaka 2010 baada ya kuona changamoto za wanawake wengi kujifungulia njiani wakati wanasafiri kufuata huduma kituo Cha afya kamsamba kilichopo umbali wa zaidi ya km 12.
Naye Verena Mbanga mkazi wa Kijiji Cha Senga amesema kutokana na umbali wa kufuata huduma za afya akina mama wengi walikuwa wanajifungulia nyumbani kwa kuhofia gharama za usafiri ambapo kwa pikipiki hutumia Sh.30000 kwenda na kurudi.
Akizundua zahanati Hiyo Mbunge wa Jimbo la Momba Condester Sichalwe amesema Zahanati Hiyo imechukua miaka 10 mpaka kukamilika kwake, ambapo amewapongeza Wananchi wa Senga kujitoa na kwa kiasi kikubwa kukamilisha Zahanati hiyo.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I’m currently generating over $35,100 a month thanks to one small internet job, therefore I really like your work! I am aware that with a beginning capital of $28,800, you are presently making a sizeable quantity of money online.( a33w)
Just open the link——->> http://Www.SmartCareer1.com
My last salary was $8,750 only worked 12 hours a week. My longtime neighbor estimated $15,000 and works about 20 hours for seven days. I can’t believe how blunt he was when I looked up his information.
.
.
Detail Here—————————————————————->>> http://Www.BizWork1.Com
HE/SHE DIED WITH CARDINAL RUGAMBWA HOSPITAL “CONFERENCE” DISEASE… THE HISTORY OF THIS DISEASE WAS KILLED MORE THAN 5 MILION PEOPLE AROUND THE WORLD MANY WAS CHINESE, EROPEAN, KOREAN AND INDIANS… ALL WHERE WHITE SKIN PEOPLE…. KILICHOBAKI BABA/BWANA YESU ASIFIWE DISEASE