Wafungwa 4,000 waachiwa Nigeria

Zaidi ya wafungwa 4,000 waachiwa Nigeria

SERIKALI ya Nigeria imetangaza kuwaachia wafungwa zaidi ya 4,000 ili kupunguza msongamano magerezani.

Waziri wa Mambo ya Ndani Olubunmi Tunji-Ojo alisema walioachiliwa ni wafungwa ambao walikuwa wamezuiliwa kwa kutolipa faini.

Alisema ni sehemu ya mpango wa Rais Bola Tinubu ambao ni pamoja na kuanzisha hukumu zaidi zisizo za kifungo.

#HabariLeo #DailyNews #SpotiLeo

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button