Waisreal 22 wapoteza maisha

TAKRIBANI watu 22 wameuawa na mamia kujeruhiwa baada ya maelfu ya maroketi kurushwa nchini Israel kutoka Ukanda wa Gaza katika shambulio la kushtukiza la kundi la wanamgambo wa Hamas, Sky News wameripoti.
–
Waziri wa Ulinzi wa Israel, Yoav Gallant alisema Hamas “imeanzisha vita” na wanajeshi wake “wanapigana na katika kila eneo”.
–
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu alisema katika taarifa yake: “Tuko vitani na tutashinda,”
–
Netanyahu aliongeza: “Adui yetu atalipa thamani ambayo hajawahi kujua.”
–
Kwa kulipiza kisasi mashambulizi hayo, Jeshi la Anga la Israel lilithibitisha makumi ya ndege za kivita za Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) zilipiga kambi kadhaa za kijeshi za Hamas na vituo vya amri vya kufanya kazi katika Ukanda wa Gaza.
Earn money in USA, high scores from trusted resources. Work at your own pace. Regular Payments. Search in different job categories. Work anywhere on your vs03 computer, laptop or mobile phone. Update your profile at any time.
.
.
Detail Here———->>> http://Www.Smartcash1.com
★They pay me $285 per hour to work on a laptop. ( e88q) I had no clue it was possible, but a close friend made $26,000 in four weeks working on this simple offer, and she convinced me to try it. For further information, please see.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://careerstars12.blogspot.com