Wajumbe SHIRECU wapitisha rasimu bajeti bil 2.8/-

SHINYANGA: WAJUMBE wa Chama Kikuu Cha Ushirika mkoani Shinyanga (SHIRECU) wamepitisha rasimu ya bajeti ya zaidi ya Sh bilioni 2.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 huku ikijizatiti kuanza kukopesheka kwenye taasisi za kifedha.
Wajumbe hao wamepitisha bajeti hiyo leo Februari 28, baada ya Meneja wa SHIRECU, Alphonce Makasi kuwasomea taarifa na rasimu ya bajeti kwenye mkutano Mkuu wa 31 uliowakutanisha wajumbe 202 kati ya wajumbe 214 waliokuwa wakitakiwa kuhudhuria kwenye mkutano huo.

Makasi akisoma taarifa hiyo amesema wajumbe wakiridhia kupitishwa kwa bajeti zaidi ya Sh bilioni 2.8 na kukopa kwenye taasisi za kifedha wataweza kutimiza mipango ya kuendeleza biashara ya ununuzi wa mazao mchanganyiko,uanzishwaji na kufufua kiwanda kipya cha kukamua mafuta ya alizeti na kuendeleza duka la pembejeo.

“Taasisi za kifedha zilikataa kabisa kutukopesha kutokana na kuwepo kwa vikwazo vya deni kutoka benki ya Uwekezaji ya (TIB) lakini sasa tumeanza kuonyesha uaminifu wa kulipa na kupata ruhusa ya kuendelea kukopesheka kwenye taasisi za kifedha zozote nchini,”amesema Makasi.

Mwenyekiti wa Bodi ya SHIRECU, Naomi Chaba amesema kuna vyama vya ushirika (Amco’s) 107 na wanachama 7413 ambapo mpango ulioanza mwaka 2025 hadi Februari 2026 wamefanikiwa kununua mazao mchanganyiko kama choroko na dengu, kugawa kompyuta mpakato 50 nakutoa mafunzo,kukarabati shule ya sekondari Buluba na kusomesha wanafunzi 28 wa kidato cha tano kwa awamu kwa gharama ya Sh milioni 45.

Mrajisi Msaidizi wa Ushirika Mkoa wa Shinyanga, Ibrahim Kakozi amesema taasisi za kifedha sasa zikae sawa kuwakopesha SHIRECU huku akiwataka wajumbe waeleze yale ambayo wanataka yatekelezwe na yakikwama waihoji bodi nakutoa ushauri zaidi nini kifanyike.




## 📢 TANGAZO LA AJIRA
### Nafasi: Editor wa Kitabu cha Jamii
**Kampuni: Yati Company Ltd**
**Mahali:** Dar es Salaam, Tanzania
**Aina ya Ajira:** Mkataba wa mwaka 1 (unaoweza kuongezwa)
**Tarehe ya Mwisho wa Kutuma Maombi:** 30 Machi 2026
—
### 📝 Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri na kusahihisha maandiko ya kitabu cha jamii kwa usahihi wa lugha na mtiririko mzuri.
* Kushirikiana na waandishi, wachapishaji na wabunifu wa maudhui.
* Kuhakikisha maudhui yanazingatia maadili, utamaduni na malengo ya kampuni.
* Kupanga ratiba ya uhariri na kuhakikisha kazi inakamilika kwa wakati.
* Kufanya utafiti wa ziada inapohitajika ili kuboresha ubora wa maudhui.
—
### 🎓 Sifa za Mwombaji:
* Shahada ya Uandishi wa Habari, Fasihi, Mawasiliano au taaluma inayohusiana.
* Uzoefu wa angalau miaka 2 katika uhariri wa vitabu au maudhui ya jamii.
* Uwezo mzuri wa Kiswahili fasaha (na Kiingereza ni ziada).
* Uwezo wa kutumia programu za uhariri kama Microsoft Word na Google Docs.
* Umakini mkubwa kwa maelezo na uwezo wa kufanya kazi chini ya shinikizo.
—
### 📩 Jinsi ya Kutuma Maombi:
Tuma barua ya maombi, wasifu (CV), na sampuli ya kazi zako za uhariri kupitia barua pepe:
📧 **[hr@yati.co.tz](mailto:hr@yati.co.tz)**
Au fika ofisi za Yati Company Ltd, Dar es Salaam.
—
**Yati Company Ltd ni mwajiri anayetoa fursa sawa kwa wote. Wanawake na vijana wanahimizwa kuomba.**
—
## 📢 TANGAZO LA AJIRA
### Nafasi: Editor wa Kitabu cha Jamii
**Kampuni: Yati Company Ltd**
**Mahali:** Dar es Salaam, Tanzania
**Aina ya Ajira:** Mkataba wa mwaka 1 (unaoweza kuongezwa)
**Tarehe ya Mwisho wa Kutuma Maombi:** 30 Machi 2026
—
### 📝 Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri na kusahihisha maandiko ya kitabu cha jamii kwa usahihi wa lugha na mtiririko mzuri.
* Kushirikiana na waandishi, wachapishaji na wabunifu wa maudhui.
* Kuhakikisha maudhui yanazingatia maadili, utamaduni na malengo ya kampuni.
* Kupanga ratiba ya uhariri na kuhakikisha kazi inakamilika kwa wakati.
* Kufanya utafiti wa ziada inapohitajika ili kuboresha ubora wa maudhui.
—
### 🎓 Sifa za Mwombaji:
* Shahada ya Uandishi wa Habari, Fasihi, Mawasiliano au taaluma inayohusiana.
* Uzoefu wa angalau miaka 2 katika uhariri wa vitabu au maudhui ya jamii.
* Uwezo mzuri wa Kiswahili fasaha (na Kiingereza ni ziada).
* Uwezo wa kutumia programu za uhariri kama Microsoft Word na Google Docs.
* Umakini mkubwa kwa maelezo na uwezo wa kufanya kazi chini ya shinikizo.
—
### 📩 Jinsi ya Kutuma Maombi:
Tuma barua ya maombi, wasifu (CV), na sampuli ya kazi zako za uhariri kupitia barua pepe:
📧 **[hr@yati.co.tz](mailto:hr@yati.co.tz)**
Au fika ofisi za Yati Company Ltd, Dar es Salaam.
—
**Yati Company Ltd ni mwajiri anayetoa fursa sawa kwa wote. Wanawake na vijana wanahimizwa kuomba.**
—.
## 📢 TANGAZO LA AJIRA
### Nafasi: Editor wa Kitabu cha Jamii
**Kampuni: Yati Company Ltd**
**Mahali:** Dar es Salaam, Tanzania
**Aina ya Ajira:** Mkataba wa mwaka 1 (unaoweza kuongezwa)
**Tarehe ya Mwisho wa Kutuma Maombi:** 30 Machi 2026
—
### 📝 Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri na kusahihisha maandiko ya kitabu cha jamii kwa usahihi wa lugha na mtiririko mzuri.
* Kushirikiana na waandishi, wachapishaji na wabunifu wa maudhui.
* Kuhakikisha maudhui yanazingatia maadili, utamaduni na malengo ya kampuni.
* Kupanga ratiba ya uhariri na kuhakikisha kazi inakamilika kwa wakati.
* Kufanya utafiti wa ziada inapohitajika ili kuboresha ubora wa maudhui.
—
### 🎓 Sifa za Mwombaji:
* Shahada ya Uandishi wa Habari, Fasihi, Mawasiliano au taaluma inayohusiana.
* Uzoefu wa angalau miaka 2 katika uhariri wa vitabu au maudhui ya jamii.
* Uwezo mzuri wa Kiswahili fasaha (na Kiingereza ni ziada).
* Uwezo wa kutumia programu za uhariri kama Microsoft Word na Google Docs.
* Umakini mkubwa kwa maelezo na uwezo wa kufanya kazi chini ya shinikizo.
—
### 📩 Jinsi ya Kutuma Maombi:
Tuma barua ya maombi, wasifu (CV), na sampuli ya kazi zako za uhariri kupitia barua pepe:
📧 **[hr@yati.co.tz](mailto:hr@yati.co.tz)**
Au fika ofisi za Yati Company Ltd, Dar es Salaam.
—
**Yati Company Ltd ni mwajiri anayetoa fursa sawa kwa wote. Wanawake na vijana wanahimizwa kuomba.**
—..
$120/hr provide by GOOGLE, I am making a good salary from home $6580-$7064/week , which is amazing, under a year ago I was jobless in a horrible economy. I thank God every day I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with Everyone, .
Here is I started______________________ www.today.earn54.com
I started this as a simple side hustle, and last month I made a little over $6,137 just working a few hours a day from my phone. If you want to check out how it works, the website has all the details.
Here—>> http://www.giftpay7.vip