Wanafunzi vyuoni wajadili bunifu kusaidia jamii

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Youth Innovation Foundation imewakutanisha wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali kutokea Dar es salaam wanaosomea kada Sayansi na teknolojia kwa ajili ya bunifu zinazolenga kutatua matatizo katika jamii inayotuzunguka.
Hayo ameyasema leo jijini Dar es salaam CPA, Deborah Wami Mkurugenzi wa Youth Innovation Foundation wakati alipowakutanisha wanafunzi hao na kusema kuwa wanatafuta ugunduzi mpya uliopo kwenye sayansi na teknolojia na kuwainua wanafunzi hao.

Aidha Debora amesema wamewakusanya wanafunzi hao ili waweze kuwaingiza kwenye pragramu zao kwa kuwasimamia na kukuza miradi na bunifu zao ili ziweze kuwa kubwa huku akisema wanataka kuwa na vijana 500 katika programu zao .
Kwa Upande wake QS.Bundala Robert Mkadiriaji Majengo kutoka AQRB amesema vijana watawezeshwa katika sayansi na teknolojia kwani dunia ya sasa ndivyo inavyotaka na hakuna budi kuendana nayo kwani pia serikali inaendana na mabadiliko hayo.
Nae mwanafunzi aliyeshiriki hafla hiyo Masaka Julius amesema bunifu wanazozionesha zitasaidia kwa baadae hivyo wameiomba serikali iwashike mkono ili ziweze kukua zaidi




I get paid over $220 per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. the potential with this is endless…,
This is what I do….. http://www.giftpay7.vip
I get paid over (90$ to 200$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $18000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
This is what I do…..
…………………… https://www.join.work27.com/
I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
This is what I do….
……………………….
………………………………………..
…………………………………………………… https://www.join.work27.com/
Baada ya Nanii tumepata mvua Nyingi na Mavuno rundo🤑🤑🤑🤑check mafanikio hadi kitandani kwako au Kwenye Biashara yako
https://youtu.be/z26kpgvu9Ew?feature=shared
Baada ya Nanii tumepata mvua Nyingi na Mavuno rundo🤑🤑🤑🤑check mafanikio hadi kitandani kwako au Kwenye Biashara yako
https://youtu.be/z26kpgvu9Ew?feature=shared
Baada ya Nanii tumepata mvua Nyingi na Mavuno rundo🤑🤑🤑🤑check mafanikio hadi kitandani kwako au Kwenye Biashara yako
https://youtu.be/z26kpgvu9Ew?feature=shared
Baada ya Nanii tumepata mvua Nyingi na Mavuno rundo🤑🤑🤑🤑check mafanikio hadi kitandani kwako au Kwenye Biashara yako
https://youtu.be/z26kpgvu9Ew?feature=shared