Wananchi 2000 waondokana na changamoto ya maji Kilindi

TANGA, Kilindi: Zaidi ya wananchi 2800 waliopo Kijiji cha Ngobole kata ya Saunyi wilayani Kilindi wameondokana na adha ya maji iliyokuwa ikiwakabili muda mrefu baada ya kukamilika kwa mradi wa maji wenye thamani ya zaidi ya sh Mil 259.2.
–
Mradi huo ambao umetekelezwa na Shirika la World Vision umeweza kuwasaidia wananchi hao kupunguza adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma hiyo.
–
Akiongea na wananchi hao Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Hashim Mgandilwa amesema kuwa Wilaya hiyo inakabiliwa na uhitaji mkubwa wa huduma ya maji kwani mpaka sasa wamefikia asilimia 35 tu.
–
“Dhamira ya serikali ni kuhakikisha Halmashauri za Wilaya ziweze kufikisha asilimia 85 ya upatikanaji wa huduma ya maji ifikapo 2025 na Kilindi ni Wilaya ambayo bado ina uhitaji mkubwa wa huduma hiyo” amesema DC Mgandilwa.
Naye Mratibu wa mradi wa Mgera AP Modestus Kessy amesema kuwa kukamilika Kwa mradi huo utasaidia kuondoa adha ya kutumia huduma ya maji baina ya wananchi na mifugo.
“Tayari miradi kama hii imeshafanyika katika maeneo mengi kwenye wilaya hii lengo ikiwa ni kuunga jitihada za serikali za kuwasogezea huduma wananchi wake”amesema Kessy.
–
DNA IMEGUDULIKA
WASOMI WAPIMA DNA NA IMEGUDULIKA LEO TAREHE 30
Baada ya uteuzi wa Waziri mpya, Wizara ya Viwanda na Biashara imeanzisha utaratibu wa kuanzishwa kwa Wakala wa Shopping Malls Tanzania na kwa kuwa nchi iliyopata maendeleo fedha haina thamani haya ndiyo makujuku ya wakala huo:
1: Kujenga na kurasimisha shopping malls zilizopo kwa utaratibu uliopo kwa kila Wilaya.
2: Kuajiri watumishi wa kila Shopping Malls na kuwahudumia kwa mujibu wa utaratibu/kanuni zilizopo.
3: Kusimamia ununuzi wa bidhaa na kupata takwimu za manunuzi ya bidhaaa mbalimbali kwa mujibu wa miongozo.
4: Kushauri Wizara katika uratibu wa manunuzi na usimamizi wa mahitaji ya shopping malls nchini.
5: Kushauri mbinu mbalimbali za uongezaji dhamani wa bidhaa mbalimbali ikiwemo vifungashio vya bidhaa.
6: Kushiriki kikamilifu katika shughuli za mipango miji kwa kutoa ushauri wapi zijengwe ili kuongeza thamani ya miji na sekta ya usafirishaji.
7: Kutoa ushauri kwa Wizara ya Viwanda na Biashara ya namna bora ya kuondokana na bidhaa feki pamoja na kushauri taasisi nyingine za kuthibiti bidhaa ili kuharibu bidhaa husika.
Tag kuongeza watu wa kupanda ndege, reli na kupunguza utitiri wa majengo yasiyotumika.
Private sector ni maamuzi au HELA/Fedha
*Wizara ni private sector kwenye maamuzi
*CAG ni private sector kwenye maamuzi
KWA NINI UPO KWENYE DUKA PEKE YAKO!? UKO PEKEYAKO
Maoni: Draft National BANDARI Policy 2003
ENEO
MAONI
1.
1.2.1.2 BANDARI Resources development
Sera ya Taifa ya BANDARI imekuja wakati mzuri ambapo Dunia nzima inafikiria maendeleo endelevu (sustainable economic development) ambayo kuwa hakika yanajumuisha matakwa ya watu wengi waliopo na vizazi vijavyo. Inashauriwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na masuala mengine ya kijamii ni vyema katika mipango ya upatikanaji wa maji salama kuwepo mpango wa kuwapa ruzuku Kampuni Binafsi zinazotafuta na kuchimba visima ili wananchi/kampuni za BANDARI zinazotoa huduma BANDARI ziweze kupata huduma za maji kirahisi (surface and groundBANDARI development)
2.
3.2.3 WasteBANDARI Quality
Kumekuwa na ukuaji wa haraka wa miji iliyopimwa na isiyopimwa mijini na vijijini kulingana na hali hiyo kumekuwa na ongezeko kubwa la uhitaji wa huduma ya Maji Taka. Licha ya kuwa na mfumo uliopo ni mzuri unaohujumuisha magari ya Majitaka. Inashauriwa katika kipengele hiki kuwepo na mpango mzuri wa fidia kwa wananchi endapo Serikali ikiamua kusimika mfumo wa jamii wa majitaka kwenye mipango miji na maeneo ya BANDARI itakayorahisisha recycling and reuse of wasteBANDARI.
3.
3.1.8 BANDARI for Socio-Economic Development
Sera ya BANDARI imeweka msukumo mkubwa katika uvunaji wa maji ya mvua ambayo yamekuwa ni hazina kubwa kwa taifa pamoja na changamoto zilizopo za kimfumo za uvunaji maji Inasharuriwa mpango wa kuendeleza mabwawa yaliyopo nchini uandaliwe kwa kuongeza ukubwa ili yaweze kuhifadhi maji (promote rain BANDARI harvesting) mengi kwa wakati mmoja na jamii ya watanzania kuweza kuyatumia katika masuala ya Utalii, Kilimo na Uvuvi.