Samia Ardhi Kliniki yawafikia wanawake Simiyu

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesogeza karibu huduma za sekta ya ardhi kwa wanawake nchini kupitia Kliniki Maalumu ya Ardhi ijulikanayo kama Samia Ardhi Kliniki.
Kliniki hiyo inaendeshwa katika maeneo mbalimbali nchini, ambapo Mkoa wa Simiyu ni miongoni mwa mikoa inayotekeleza huduma hiyo. Inatarajiwa kuzinduliwa rasmi Machi 4, 2026 na Mkuu wa Mkoa huo, Anamringi Macha, katika Viwanja vya Sabasaba vilivyopo Bariadi. SOMA: Wakazi zaidi ya 400 Ilemela kunufaika kliniki ya ardhi

Katika kufanikisha kliniki hiyo, Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kushirikiana na Ofisi ya Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Simiyu pamoja na wataalamu wa sheria kutoka Mama Samia Legal Aid wanatoa huduma mbalimbali za sekta ya ardhi. Huduma hizo ni pamoja na upimaji wa ardhi, utoaji wa hati miliki, uhamishaji wa umiliki, uthamini wa ardhi, kusikiliza changamoto mbalimbali za wananchi katika sekta ya ardhi na kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu matumizi bora ya ardhi.
Kliniki hiyo inalenga kutoa huduma za ardhi kwa wanawake nchini kote kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake, yatakayofanyika kuanzia Machi 2 hadi 7, 2026, yakiwa na kaulimbiu isemayo: “Haki sawa kwa wanawake na wasichana; Msingi jumuishi kufikia Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.”




I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
This is what I do….. https://www.payathome9.place
I get paid over (90$ to 200$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $18000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
This is what I do…..
…………………………………………………………………………..
…………………………………………………………….. https://www.payathome9.place
**TANGAZO LA AJIRA**
**NAFASI: WAHARIRI 332,545 WA KITABU**
Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi za kazi **332,545 za Wahariri** kwa ajili ya kuhariri kitabu chenye kichwa cha habari:
*“Kuua Chama cha Siasa nchini Tanzania (KILA MTU ANAJUA KITAWALE MILELE) – Kama walivyoua Viwanda vya Serikali ya Awamu ya Kwanza”*
### Madhumuni ya Ajira
Kampuni inalenga kuunda jopo kubwa la wahariri kwa ajili ya kufanya uchambuzi, mapitio na maboresho ya kitaalamu ya muswada wa kitabu kabla ya kuchapishwa rasmi.
### Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri sarufi, tahajia na matumizi sahihi ya lugha.
* Kuboresha mtiririko wa hoja na mpangilio wa sura.
* Kufanya uhakiki wa kitaalamu (proofreading na copy-editing).
* Kutoa maoni ya maboresho bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
* Kufanya kazi kwa ushirikiano ndani ya timu pana ya wahariri.
### Sifa za Mwombaji:
* Awe na ujuzi mzuri wa lugha ya Kiswahili.
* Elimu au uzoefu katika Fasihi, Uandishi wa Habari, Sayansi ya Siasa au taaluma zinazohusiana itakuwa nyongeza.
* Awe na uwezo wa kufanya kazi katika timu kubwa.
* Awe mwadilifu, makini na mwenye kuheshimu muda wa kazi.
### Namna ya Kutuma Maombi:
Waombaji watume:
* Barua ya maombi
* Wasifu binafsi (CV)
* Maelezo ya uzoefu au mfano wa kazi (kama ipo)
Maombi yawasilishwe katika ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni ndani ya siku 21 tangu tarehe ya tangazo hili.
**Imetolewa na:**
Kampuni ya WAJA
Buza, Dar es Salaam
*Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa stahiki.*
**TANGAZO LA AJIRA**
**NAFASI: WAHARIRI 332,545 WA KITABU**
Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi za kazi **332,545 za Wahariri** kwa ajili ya kuhariri kitabu chenye kichwa cha habari:
*“Kuua Chama cha Siasa nchini Tanzania (KILA MTU ANAJUA KITAWALE MILELE) – Kama walivyoua Viwanda vya Serikali ya Awamu ya Kwanza”*
### Madhumuni ya Ajira
Kampuni inalenga kuunda jopo kubwa la wahariri kwa ajili ya kufanya uchambuzi, mapitio na maboresho ya kitaalamu ya muswada wa kitabu kabla ya kuchapishwa rasmi.
### Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri sarufi, tahajia na matumizi sahihi ya lugha.
* Kuboresha mtiririko wa hoja na mpangilio wa sura.
* Kufanya uhakiki wa kitaalamu (proofreading na copy-editing).
* Kutoa maoni ya maboresho bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
* Kufanya kazi kwa ushirikiano ndani ya timu pana ya wahariri.
### Sifa za Mwombaji:
* Awe na ujuzi mzuri wa lugha ya Kiswahili.
* Elimu au uzoefu katika Fasihi, Uandishi wa Habari, Sayansi ya Siasa au taaluma zinazohusiana itakuwa nyongeza.
* Awe na uwezo wa kufanya kazi katika timu kubwa.
* Awe mwadilifu, makini na mwenye kuheshimu muda wa kazi.
### Namna ya Kutuma Maombi:
Waombaji watume:
* Barua ya maombi
* Wasifu binafsi (CV)
* Maelezo ya uzoefu au mfano wa kazi (kama ipo)
Maombi yawasilishwe katika ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni ndani ya siku 21 tangu tarehe ya tangazo hili.
**Imetolewa na:**
Kampuni ya WAJA
Buza, Dar es Salaam
*Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa stahiki.*
**TANGAZO LA AJIRA**
**NAFASI: WAHARIRI 332,545 WA KITABU**
Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi za kazi **332,545 za Wahariri** kwa ajili ya kuhariri kitabu chenye kichwa cha habari:
*“Kuua Chama cha Siasa nchini Tanzania (KILA MTU ANAJUA KITAWALE MILELE) – Kama walivyoua Viwanda vya Serikali ya Awamu ya Kwanza”*
### Madhumuni ya Ajira
Kampuni inalenga kuunda jopo kubwa la wahariri kwa ajili ya kufanya uchambuzi, mapitio na maboresho ya kitaalamu ya muswada wa kitabu kabla ya kuchapishwa rasmi.
### Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri sarufi, tahajia na matumizi sahihi ya lugha.
* Kuboresha mtiririko wa hoja na mpangilio wa sura.
* Kufanya uhakiki wa kitaalamu (proofreading na copy-editing).
* Kutoa maoni ya maboresho bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
* Kufanya kazi kwa ushirikiano ndani ya timu pana ya wahariri.
### Sifa za Mwombaji:
* Awe na ujuzi mzuri wa lugha ya Kiswahili.
* Elimu au uzoefu katika Fasihi, Uandishi wa Habari, Sayansi ya Siasa au taaluma zinazohusiana itakuwa nyongeza.
* Awe na uwezo wa kufanya kazi katika timu kubwa.
* Awe mwadilifu, makini na mwenye kuheshimu muda wa kazi.
### Namna ya Kutuma Maombi:
Waombaji watume:
* Barua ya maombi
* Wasifu binafsi (CV)
* Maelezo ya uzoefu au mfano wa kazi (kama ipo)
Maombi yawasilishwe katika ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni ndani ya siku 21 tangu tarehe ya tangazo hili.
**Imetolewa na:**
Kampuni ya WAJA
Buza, Dar es Salaam
*Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa stahiki.*