Watafiti, wafanyabiashara wakaribishwa TSN

KAMPUNI ya Magazeti ya Serikali (TSN) imewakaribisha watafiti, wafanyabiashara na wananchi kwa ajili ya kupata habari na taarifa mbalimbali za sasa na zile za kumbukumbu tangu miaka ya 1930

Ukaribisho huo umetolewa leo Julai 5, 2023 na Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara TSN, Felix Mushi ndani ya banda la TSN kwenye Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara ‘Sabasaba’ 2023.

 

“Niwakaribishe wote katika banda letu lililopo hapa Sabasaba kwa ajili ya kutangaza na magazeti yetu ya HabariLEO, Daily News, pia gazeti mtandao e-paper sambamba na video mtandao ya Daily News Digital na mitandao yetu ya kijamii,” amesema.

Mushi amesema TSN imeanza kuhudumu tangu miaka ya 1930 na wametunza kumbukumbu za kitambo chote hicho hivyo kujinasibu kuwa sehemu ya historia.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Annette M. Hamilton
Annette M. Hamilton
2 months ago

I’m remodeling $960 per day using my phone part-time. I’m presently on my fifth record for $27,000 and each one I’ve made has been from replicating and pasting photographs off the internet. This industry helps the United States generate more nd34 money every day for certain goals and tasks, and the quality earnings are just amazing. More information may be found
.
.
In this article————————————— >>> https://www.pay.hiring9.com.

Last edited 2 months ago by Annette M. Hamilton
Angela Cook
Angela Cook
Reply to  Annette M. Hamilton
2 months ago

I’ve earned $17,910 this month by working online from home. I work only six hours a day despite being a full-time college student. Everyone is capable of carrying out this work from their homes and learning it in spare time on a continuous basis.
To learn more, see this article———>>> https://workscoin1.pages.dev/

Last edited 2 months ago by Angela Cook
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x