Watafiti wapewa mbinu za kuisaidia jamii

ARUSHA: Watafiti wa Masuala ya Sayansi wamesisitizwa kutumia takwimu sahihi za kitafiti zinazosaidia kugundua magonjwa ikiwemo utengenezaji wa dawa zinazosaidia kutibu magonjwa mbalimbali.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia, Profesa Peter Msoffe kwenye ufunguzi wa Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Sterolojia unaofanyika Taasisi ya Nelson Mandela ya Sayansi na Teknolojia (NM-IAST) kwakushirikiana na Chuo Kikuu Cha Ondohuz Mayis cha Uturuki ikishirikisha nchi 10 ikiwemo Tanzania.

Amesema tafiti hizo za kisayansi na teknolojia zinapotumiwa vema zinaweza kuondoa changamoto mbalimbali za magonjwa yanayoibuka ikiwemo kuyathibiti.

Naye Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) ,Profesa ,Maulilio Kipanyula mkutano huo unakutanisha wataalam hao kwa ajili ya kujengeana uwezo katika masuala ya sayansi , teknolojia na ubunifu kwa jamii hususan katika sekta ya afya .

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
EmmaJames
EmmaJames
25 days ago

My last salary was $8,750 only worked 12 hours a week. My longtime neighbor estimated $15,000 and works about 20 hours for seven days. I can’t believe how blunt he was when I looked up his information.
.
.
Detail Here——————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

Angila
Angila
25 days ago

Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions……
.
.
.
On This Website……………..> > W­w­w.S­m­a­r­t­c­a­r­e­e­r­1.c­o­m

Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x